Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

huyu dogo hakai sinza yulo huko karibu na mkoa wa pwani. Angekaa sinza angeringa sana😀
nahisi huwa analima Lima huko
🤣🤣🤣 sasa nimekuelewa ndo maana kuna wakati anasemaga yuko Mbezi ya Kimara stand ya Magu kumbe ndo huwa anaendaga shamba. Oya Mwachiluwi unaingiaga Chalinze au Msata?
 
Pole sana huwa unakabilianaje na hiyo hali ili isije tokea tena kufanya maamuzi kama hayo?

Ulijaribu na dawa za pharmacy au illicit drugs?
Thank you aisee , im a postive person sana , i dont like negative things at all .

encouraging myself all the time , no matter situation na kusema i can do it .

talking to a friend concerning an issue .listening to some music na pia smiling 😂😂😂

dawa za pharmacy zilikuwa .
 
aisee unaniona dogo ila nina 32 years. Baba wa familia haya mambo ya mtandaoni yasikufanye ukahusi sijielew😀
Aaah mazee, usinilishe maneno basi. Hilo la kusema hujielewi umelileta wewe, binafsi nimesema kwamba una roho ngumu.

Miaka 32 bado kinda sana mazee, still a long way ahead. Mimi nikutakie kila la kheri ..
 
Aaah mazee, usinilishe maneno basi. Hilo la kusema hujielewi umelileta wewe, binafsi nimesema kwamba una roho ngumu.

Miaka 32 bado kinda sana mazee, still a long way ahead. Mimi nikutakie kila la kheri ..
Shukrani sana. Kweli 32 ni kijana ila sio kinda. Thanks for nothing 😀
 
Back
Top Bottom