Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,269
Gily umenigeuka siohuyu dogo ni muhuni mmoja ananunua malaya tu tena wale wa buguruni wachafu wachafu
Gily umenigeuka siohuyu dogo ni muhuni mmoja ananunua malaya tu tena wale wa buguruni wachafu wachafu
Ahaha ila ukweli si unaujua nilikwambia the firsy day tukiwa julianaHahaha haya bana mara ya mwisho ulisema unaishi kwa wazazi ila sio kesi gonga wali tuje tupige mastori ya town
kama fala sijawah ficha uhalisia wangu. 😀 wanaonijua hunuwewe sio mweupe vile, nakataa 😂
toka umpigie simu wife ukanza kuniharibia nasubiri siku nikuharibie. Walah wabilah iko siku tu 😀Gily umenigeuka sio
hongera aisee shem kapata HB master of supervillains 😂kama fala sijawah ficha uhalisia wangu. 😀 wanaonijua hunu
1. Tinsley
2 Nourhan
3 Mwachiluwi
4 Uboboh
5 ms eyes
6 Dahan
7.....
wengine marehemu sasa. Humu tuna marafiki wa kufa na kuzikana nyinyi mnakuja kupoteza mda😀
Ahahaha wewe fwala mimi sikai mageton nakaa kwenye nyumba 😂🤣🤣🤣 hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadeki
huyu dogo hakai sinza yulo huko karibu na mkoa wa pwani. Angekaa sinza angeringa sana😀🤣🤣🤣 hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadeki
Pole sana huwa unakabilianaje na hiyo hali ili isije tokea tena kufanya maamuzi kama hayo?Mda kidogo wakati nipo shule
nilikuwa naumwa sana na nilikuwa sielewi hii dunia .
mara ya pili baada ya mama kuondoka , i felt empty , nikawa na shida fulani ikaniongezea masikitiko .
nina moyo wa ajabu , unawahi kuumia sana mtu chake .
Kutuma jambo la hovyo kama hili hadharani, inahitaji mtu kuwa na roho ngumu sana. Dogo una roho ngumu mno, amini nakwambia....🤣🤣🤣 ngoja nitupie picha ya kihuniView attachment 2633802
😂😂😂 sikup simu uongee na shemyako walahiiitoka umpigie simu wife ukanza kuniharibia nasubiri siku nikuharibie. Walah wabilah iko siku tu 😀
Nakumbuka sana. Kwa hiyo umepanga huko huko Sinza?Ahaha ila ukweli si unaujua nilikwambia the firsy day tukiwa juliana
Leta takwimu tuoneNiny mnaroho mbaya
being a parent is awesomethere are so many things you have to get right to be a parent
Usha anza majungu ngoja nikupe tusi akili ikaw sawahongera aisee shem kapata HB master of supervillains 😂
Umejenga au umepanga? 😅🤣Ahahaha wewe fwala mimi sikai mageton nakaa kwenye nyumba 😂
halafu anakuja kupata msongo wa mawazo akiwa mkubwa, yote ya nini??being a parent is awesome
imagine having your mini me playing around the house . ukimuona tu unajiona wewe kwenye utoto wako .
Ukuje home sasaNakumbuka sana. Kwa hiyo umepanga huko huko Sinza?
NimejemgaaaUmejenga au umepanga? 😅🤣
Usituletee picha za nyumba ya shemeji yako hapa
aisee unaniona dogo ila nina 32 years. Baba wa familia haya mambo ya mtandaoni yasikufanye ukahusi sijielew😀Kutuma jambo la hovyo kama hili hadharani, inahitaji mtu kuwa na roho ngumu sana. Dogo una roho ngumu mno, amini nakwambia....
Wew wakuniacha mlangoni wew na mpwa wako mkaingia ndan na kula ugali na kitimoto walai sijapendaLeta takwimu tuone