Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kama fala sijawah ficha uhalisia wangu. 😀 wanaonijua hunu
1. Tinsley
2 Nourhan
3 Mwachiluwi
4 Uboboh
5 ms eyes
6 Dahan
7.....

wengine marehemu sasa. Humu tuna marafiki wa kufa na kuzikana nyinyi mnakuja kupoteza mda😀
hongera aisee shem kapata HB master of supervillains 😂
 
Mda kidogo wakati nipo shule
nilikuwa naumwa sana na nilikuwa sielewi hii dunia .

mara ya pili baada ya mama kuondoka , i felt empty , nikawa na shida fulani ikaniongezea masikitiko .

nina moyo wa ajabu , unawahi kuumia sana mtu chake .
Pole sana huwa unakabilianaje na hiyo hali ili isije tokea tena kufanya maamuzi kama hayo?

Ulijaribu na dawa za pharmacy au illicit drugs?
 
Back
Top Bottom