Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,045
haha 😀 bangi hazijawah mwacha mtu salamaIla wewe mwamba bwana! Huyo Tinsley ndiyo minion wako ?
oya mshamba_hachekwi huyu jamaa sio ye34nbe kweli?
haha 😀 bangi hazijawah mwacha mtu salamaIla wewe mwamba bwana! Huyo Tinsley ndiyo minion wako ?
Hahaha haya bana mara ya mwisho ulisema unaishi kwa wazazi ila sio kesi gonga wali tuje tupige mastori ya townHepena nimekwambia nipo single Gily amefika home muulize
Yes i didSijakuelewa unamaanisha uliwahi kujaribu suicidal
Aaah, hao wakomunisti huwa siwaelewi kabisaNimefeli sana??😯😯
Polee. Shida ilikuwa nini jamani? 😔Yes i did
Duh! Ikawaje na ilikuaje kuaje ?Yes i did
mbona kama unapend mabishano yasiyo ya kijinga. Afafanue maelekez yako 😀
Eeeh, Bangi tena ?haha 😀 bangi hazijawah mwacha mtu salama
oya mshamba_hachekwi huyu jamaa sio ye34nbe kweli?
there are so many things you have to get right to be a parentNavyopenda watoto duh nakushangaaaa
basi tu
huyu jamaa kwel anakaa na wazazi sio masikhar akikwambia sivyo ujue kadanganyaHahaha haya bana mara ya mwisho ulisema unaishi kwa wazazi ila sio kesi gonga wali tuje tupige mastori ya town
karibu mzee tuchocheeUkiona Uzi unakimbia ujue Kuna hii namba apa mshamba_hachekwi
sijui huko chuo anasoma saa ngap akitoboa niite mbwa😀Ukiona Uzi unakimbia ujue Kuna hii namba apa mshamba_hachekwi
wewe sio mweupe vile, nakataa 😂haha 😀 bangi hazijawah mwacha mtu salama
oya mshamba_hachekwi huyu jamaa sio ye34nbe kweli?
🤣🤣🤣 ngoja nitupie picha ya kihuniEeeh, Bangi tena ?
Atajiunga na kijana mwenzake mzee wa dislike watadiscosijui huko chuo anasoma saa ngap akitoboa niite mbwa😀
Mda kidogo wakati nipo shulePolee. Shida ilikuwa nini jamani? 😔
🤣🤣🤣 hii ndo shida ya watoto wa Sinza wakiwa kwenye vile vyumba vya uani wanajiona wako magetoni kumbe wanakula ugali wa shikamoo. Kumbe katapeli fulani daadekihuyu jamaa kwel anakaa na wazazi sio masikhar akikwambia sivyo ujue kadanganya
alafu ana tabia ya kuja pm na I'd zake anajifanya demu ukijichangany umepotea jinga sana