Selfika na JF: Snap it. Show it

Shanga kama shanga hahaha... sijui kwanini nimecheka sana hapo kwenye shanga/ cheni!
Hahaha..........sijui Mjukuu wangu ameandika nini tena hapa, unajua nilimwachia simu yangu akicheza game πŸ˜…πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Nimekumbuka zile cheni ulokua unamtumia mjuu wako humu simkumbuki jina achague babuu😁😁🀠🀠!!
Nahisi hata hiyo comment atakuwa aliandika huyo Mjukuu wangu tu πŸ€ͺ

Ila miaka yetu ilikuwa raha ujue πŸ™ˆπŸƒπŸƒ
 
Utakufa imesimama babuuu hahahaaa.... kulaaa maishaaa furahiaa pesa yako kwaraha zakoo 😁😁🀠!!
Umri huu sio rahisi MjukuuπŸ™Œ

Unaweza kuta unaomba isimame kuanzia Kimara mwisho lakini inaenda kusimama kituo cha Kwa Ndevu kule Tegeta πŸ™ŠπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…