Obviously anaefanya hivyo anakua ameona fursa ya kupunguza dhiki zake, nothing more, nothing less.
Sasa we babu ukiingia kwenye mahusiano na mtu wa design hiyo utasema umependwa kweli ama kujisikia raha, knowing zikipungua tu kidogo unaweza ukabwagwa just like thatπ«°πΎ????ππ
I'm not saying hela sio muhimu, ni muhimu tena sana!!! Mchagga mimi naipenda hela π―, but that's why I work. Mambo yakiwa magumu ntakopa kwa ndugu & marafiki zangu, ikitokea bahati nikapendana na mtu ambae yuko financially secure ntafurahi maana tutaendelea kula bata & kuishi comfortably, lakini siwezi kujiingiza kwenye mahusiano kwasababu ya pesa hata niwe na shida kiasi gani.
Mnavyokubali kutumiwa mkubali maisha ya kutupwa kila mnapokoma kuwa useful!π΅π«€