Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tuπŸ˜…
 
Mbona sisi wengine hatuna gharama, tunaangalia upendo tu na attention yenu kwetu.
Ila nyie mnatanguliza hela, hapo sasa mnafanya tupende hela zenu kabla ya kuwapenda ninyi... yaani mnatukonfyuziiii hamjui tuπŸ˜…
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.

Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken πŸ€πŸ˜…πŸ˜…
 
Hahahaha.................jioni nitakuwa na semina na Vijana, hoja yako lazima tutaijadili kwa kina.

Kumbe ni wao wenyewe ndiyo wanakosea, Point taken πŸ€πŸ˜…πŸ˜…
Si ndio, wao wenyewe ndio hua wanaharibu mapema.

Waambie bana wasiwe wanatuspoil sana, sometime watulishe mihogo sio kila siku wine na nyama chomaπŸ˜‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…