Mwinyi huyo kwemaπ€£π€£Kwenye hiyo Hoja, Wazee mnatuonea bure Mkuu.
Waulize Wazee wenzangu akina Mzee Mwinyi, we are so innocent π€
Wanaburuza balaa πππinnocent till proven guiltyπ mnapita kimyakimya
mbona buku tu hiyo rafki yangu πMboga 7 π , naona boom bado linapumua
bonge moja la bahati aisee πKuna Mangi mmoja ali drop out na lile boom akalifanya mtaji mara ya mwisho naona naye maeneo ya Sinza kijiweni. Tayari ana nyumba, Bar , Bodaboda mbili
Hahaha...............Kuwika ni mara moja ikizidi sana mara 3 kama Jogoo wa Petro tu πππah wapi babu , umedanganya anawikaje mara moja kwa mwaka .
wazee nyie ndo pisi kali zinawapenda hamna mambo mengi .
kazi kushusha vioo tu kuita vibinti....Wanaburuza balaa πππ
Ndiyo rika langu lile, umetuona tusivyo na mambo mengi πMwinyi huyo kwemaπ€£π€£
Na mapengo Yaoπ€£π€£π€£ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidππkazi kushusha vioo tu kuita vibinti....
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Lakini usije ukaiga utapotea mazima. Wachaga wana upepo wa Biasharabonge moja la bahati aisee π
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πππpaleeeππ!Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu π€ͺ
Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye πππππ
unavumilia tu mwisho wa siku kuna laki zako kadhaaπ na ada ya chuo paap....Na mapengo Yaoπ€£π€£π€£ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidππ
πππBila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π π
Mimi na Wazee wenzangu waandamizi hatuna mambo mengi kabisa yaani π€innocent till proven guiltyπ mnapita kimyakimya
kuna part time sponsors wabarikiwe .lakini sasa si ni last option life likikaza.... sisi hatuna, life likikaza unaanza kula mara 1 kwa siku
basi itakua na gold diggers pia wameongezekaNi tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
Tafuta Wimbo wa Bonny Mwaitege Sisi sote ni kazi ya mikono yako ππHahaha sawa
Najikubali
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi πNyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πππpaleeeππ!
Labda awe anaumwa π€£π€£π€£π€£π€£
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyeweππππ€£ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ!Na mapengo Yaoπ€£π€£π€£ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidππ
πΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππBila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π π