Selfika na JF: Snap it. Show it

ndio mkuu.... binafsi naamini kuna wanawake wanaona beyond the wallet.... nashangaa watu wengi hawakubaliani na mimi
Ni tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.

Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
 
Hahaha...............hizo habari za michepuko wanazo Vijana, sisi Wazee tumetulia tu πŸ€ͺ

Kwanza huduma yenyewe kuipata ni hadi Jogoo awike, Jogoo mwenyewe anawika kwa mwaka mara moja tu masikini siye πŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰paleeeπŸ˜πŸ˜‚!
Labda awe anaumwa 🀣🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
 
Nyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰paleeeπŸ˜πŸ˜‚!
Labda awe anaumwa 🀣🀣🀣🀣🀣
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi 😁

Ila vijana sasa, mambo mia kidogo πŸ€ͺπŸ™Œ
 
Na mapengo Yao🀣🀣🀣ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidπŸ˜‚πŸ˜‚
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈ!
 
🚢🚢🚢🚢ila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…