πππBila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π π
Mimi na Wazee wenzangu waandamizi hatuna mambo mengi kabisa yaani π€innocent till proven guiltyπ mnapita kimyakimya
kuna part time sponsors wabarikiwe .lakini sasa si ni last option life likikaza.... sisi hatuna, life likikaza unaanza kula mara 1 kwa siku
basi itakua na gold diggers pia wameongezekaNi tatizo ambalo wanaume mmelitengeneza wenyewe na linawaumiza wenyewe.
Pesa inaweza kushawishi mtu awe na wewe kimaslahi ila hakuna atakaekupenda sababu ya pesa ,iwe mwanamke au mwanaume.
Tafuta Wimbo wa Bonny Mwaitege Sisi sote ni kazi ya mikono yako ππHahaha sawa
Najikubali
Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi πNyumbu Anasemaga Ukiona mzee mwenye hela katulia muite mbwaaa amekaa πππpaleeeππ!
Labda awe anaumwa π€£π€£π€£π€£π€£
Weee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyeweππππ€£ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ!Na mapengo Yaoπ€£π€£π€£ila kudate na mzee yatak moyo wa kigaidππ
πΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππBila hela siku hizi kuna mwanamke utampata kweli π π π ... miaka mingi imepita dada mmoja kaja kaniambia nimekupenda ulivyo sina shida na hela hataa.. weee nilivyojitusua mwezi mmoja nilikoma.. kila simu ilikuwa inakuja na invoice π π π
He! Sijambo, shkamoo!πHe!...jirani hujambo.
π€£π€£πKumbe eehWeee kuna vwazeee vijana mafiaa kinoumaaaaaa yani ni wadeadliii utakimbia mwenyeweππππ€£ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈ!
mimi mchaga 100% umenipa motishaa πLakini usije ukaiga utapotea mazima. Wachaga wana upepo wa Biashara
mvua imenyesha mwaka hiuHalifurahishi, ila mkulima lake jembe.
kina Mjep π wanamwaga pesa....kuna part time sponsors wabarikiwe .
kabla hajatongoza , unakula kidogo
Hapo kwa vijana hapoo very true!Mbona Wazee siye hatuna mambo mengi, yaani tumetulia kama maji ya mtungi π
Ila vijana sasa, mambo mia kidogo π€ͺπ
Anza kuwa na wazo la biashara kwanza na ulifanyie utafiti. Then boom likiingia tu peleka huko kwenye wazo lako la biasharamimi mchaga 100% umenipa motishaa π
nani hayupo kimaslahi ? ndoa yenyewe ipo kimaslahi aisee.. hakuna mtu anataka mtu asie na kitu .. huu ndio u sound wenyewe tunauita π π π kama huna kitu hata wewe mwanamke cha kumvuta mwanaume ni tabu na mwanaune asie na kitu cha kukuvuta ni tabuπππ
Wale waliokaa kimaslahi kwakweli huwezi kuwapa bila pesa hata iweje.
Boom lenyewe kiasi gani?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anza kuwa na wazo la biashara kwanza na ulifanyie utafiti. Then boom likiingia tu peleka huko kwenye wazo lako la biashara
π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ! Lazima uloe na hujaguswa hata khakhakhaaaa!!πΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππ
nzuri sana kupewa hela, hata mie hapa nina wish kupewa hata ka bilion hivi π π nitatue changamoto zanguπΆπΆπΆπΆila nyie kupewa Hela acheni tu hasa uwe hujaomba au unezidishiwa kiwango ulichoomba nyie roho burudaniiππ
mnajifanya wastaarabu mnawaita 'mabinti' πMimi na Wazee wenzangu waandamizi hatuna mambo mengi kabisa yaani π€