Selfika na JF: Snap it. Show it

Bikra wee yanini na umewowaa grampa nawee๐Ÿ˜๐Ÿ˜!

Sikuhzi kizazi kimeharibikaaa vibinti havina si bikra ya mbele wala yanyumaa ni mtihani kwakweli ๐Ÿค !
Nilikuwa natolea mfano tu Mjukuu, sisi miaka yetu Bikra zilikuwa zakutosha.

Siku ya kwanza unaenda kulala naye huyo Mkeo, basi utakuta Wakwe wameandaa kitambaa cheupe kitandani kwaajili ya kuangalia matokeo.

Wakikuta ipo, utasikia Vigelegele huko nje, na kama hukumaliza kulipia Ng'ombe za watu unatakiwa mapema kesho yake mpeleke ng'ombe za watu ๐Ÿค—๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Zama zimebadilika sana babuu vibinti mnaviharibu mapema sanaaa unategemea bikra itoke wapi ๐Ÿค !
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ni kujisalimisha tu.. ndio pona yetu hata moyo unakuwa huru
Ni kweli, muhimu huyo utakayejisalimisha kwake aweze kukuvumilia mapungufu yako.

Mambo ya Vibamia na Kimoja chali, yanatutesa sana Wanaume.

Ukikutana na Mwanamke anajua kusema, atasema kwa majirani na mashoga zake wote, utatamani ujifukie ardhini kuepuka aibu ๐Ÿ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ