Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Jaman usiku wote huo ukaenda wapi sasa🤣😂😂 Nlishampisha msela na jimama lake saa saba usiku alafu ndio ilikua Mara yake ya Kwanza kuja kulala kwangu. Usela n ujinga
Jaman usiku wote huo ukaenda wapi sasa🤣😂😂 Nlishampisha msela na jimama lake saa saba usiku alafu ndio ilikua Mara yake ya Kwanza kuja kulala kwangu. Usela n ujinga
Inaitwa power bank sio mihogoKushindia mihogo 🤣🤣
Hapo hapo anataka akapige excel Hostel
Disco ndo mwisho wa reli huyu mdogo etu atafeli😂 anaacha kukazana na masomo anakuja kusumbua humu Jana tu nimekula dislike 117Na kucarry juuu
haha kwanini nife nakihoro pisi nikiielewa?We huzichapi au ni good boy?
tuanze kwako basi tuzitumie hela zako, zikiisha tuanze zangu 😉Basi tutaringishiana in 2 weeks!!😎View attachment 2630685View attachment 2630686View attachment 2630687
Nipo chief navizia selfie hapa kimya kimyaMjep umehama kijiwe au nikuletee mzigo nimevuna bilinganya
Ntatupia tu usijali 😄🍻Tupia ya zamani.
Naona mtaa upo shwari vile vyekundu vyekundu havipo😀😀Hana bando
Hua unatuma na ya kutolea?haha kwanini nife nakihoro pisi nikiielewa?
Kama zege ntabeba? Kama mkaa ntakata just for her!
mzee, nikiachia sana, inabidi niiditch IDSasa mkuu huku ndiyo kuselfika gani? Unatuaekea fulana nyeupe? Umekata Sana mzee,punguza kucrop Kaka.
Hatutumi mzeee 😂😂😂Nipo chief navizia selfie hapa kimya kimya
Ndio inatakiwa iwe hivi, makasiriko huku sio mahala pakeNaona mtaa upo shwari vile vyekundu vyekundu havipo😀😀
Sitosahau nilienda kulala kwa masela zake huyo msela godoro chini la tano kwa sita tulikua Kama nane ivi 😅😂Jaman usiku wote huo ukaenda wapi sasa🤣
Sisi watu wa mapenzi yalikozaliwa Ni mwiko kuwachosha watoto wa kike.We usije kumchosha mdogo wangu.🙄🙄
Kweli umekata sana adi sio poamzee, nikiachia sana, inabidi niiditch ID
hahahahahahahaView attachment 2630692
Members laki 6 afu unakuta mtu yupo singo uuliwe tu Bangladesh de Filter gear box
Aiseee humu Selfika sijawa addicted kabisa ukitupia nitag basi au tupia 👉✉️ Kwangu 😂😂😂Kesho kaka Leo inatosha ninejitahd sana 😂
Daah pole sana hahaaaSitosahau nilienda kulala kwa masela zake huyo msela godoro chini la tano kwa sita tulikua Kama nane ivi 😅😂
Mimi nili muignore mda sana sema mood hawajaweka mtu asione comment yakoDisco ndo mwisho wa reli huyu mdogo etu atafeli😂 anaacha kukazana na masomo anakuja kusumbua humu Jana tu nimekula dislike 117