Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe auntyangu ni engineer mbona hamkunambia hongera mm nilitaka kusoma hiyo ila nikafeli fom foo
Aunt huna habari?

Mbna nilishawahi post picha nikiwa sites na zile kaoshi zetuuu. Muulize shouuzz akee.

Usione najichetua hapaaaa, tunahangaika na mitamboo nje ya JF.
 
Hongera auntyangu lazima upasue wew kichwa wagoni hawana masikhara
 
Hongera auntyangu lazima upasue wew kichwa wagoni hawana masikhara
unajua nikiwa uraiani mtu haamini km mie niko ktk taaluma ya mitamboo.

Sina life hilo kabisaaa, kuna siku tulienda ofisi Fulani na rafiki angu, kufika kule si nkamkuta jamaa ambaye siku ya graduu yangu ya 4m 6, akikuwepo yeye alikuja kwa ndugu yake.

Si akaanza kunihoji kuna watu walikaa pembeni acha washangae, kuna mdada pale pale alinipa 30k km pongeziii.
 
Hongera sana aunt 😍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…