Selfika na JF: Snap it. Show it

dear nimechekaa mnooooo.
Kwann lakini.
Sikumpenda aisee , i used him maana nilikuwa kapweke πŸ˜‚πŸ˜‚

Ikabidi nimdanganye nimehama dar uwiii ,ili tusionane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .

alivyokuja dukani , nilivyoona anaongea ngeli , nikamjibu weh
akachukua namba ili nimuelekeze maana hapajui na pia watu akienda dukani wanamuibia πŸ˜‚πŸ˜‚

so toka mwanzo nilijua namsaidia tu basics za kuishi dar
 
dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
 
dear kumbe nawee unadanganyaaaa, nimechekaa, kwann ulimfanya mghana n daraja kwako.
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms πŸ˜‚πŸ˜‚ .

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Poor thing , niliona atanizingua tu , siku nzima hajibu sms
.

hehehe alikuwa na rafiki yake tukikaa pamoja wanaanza ongea kilugha tena , ndo nn .

mdogo aiseee , ndo kwanza 28 .
angekuwa 30's sawa
dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
 
dear unanichekeshaa mnoooo jomoneee. Khaa kwan asinge kuwezaa??
Ah Alikuwa ana haraka sana yule πŸ˜‚πŸ˜‚
siku ya pili tu ananita wife hehehe anataka niende Ghana .

basi siku moja twapiga stori namwambia nyie wacheza mpira hamkai na familia , anaona poa na kubisha jukukumu la kulea watoto ni la mama tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…