Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaan napoteza appetite kabisaa, tena selfikaaa ndo kabisaaaaa,
Now nimezamia jukwaa LA sports huko ndo nako chill sanaa.
Wee unaniachajee shougaaaaangu nisubirie twende wotree banaaa mbona kupatwa kwa selfikaaa ☺️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️!!
 
Ngoja amalize shule aje mtaani ndio atajua hajui 😂

Hapo ukute kashapanga akimaliza chuo fasta anapata kazi salary ya wan pwenti faivu, anahama home anahamia kwa apatiment zen by 25 anakua anamiliki nyumba na gari.
Mtaa unamshangaza 1st ajira anaipata akiwa na 29 🤣🤣
Ataliaaa na mengi
Aanze tu kujiandaa kisaikolojia
 
Twendeee fanya upaki mabegii harakaaa,
Selfika ishakuaa ushubwadaaa, na venye picha hazifungukii ndo kabisaa najionea manjegekaa tyuuh.
Nakuja shougaaangu tena nakuleteaaa na mayai ya kienyeji kabisaa umpelekee mama swaumu awe anakukaangia ogo yai walauuu😂.. Au nawewe wa 🍕!??

Napewa bureee kabisaaa hayooo hapana Chezea Nyakibimbirii Village 🤣!
 

Attachments

  • IMG_20230519_150032_050~2.jpg
    IMG_20230519_150032_050~2.jpg
    292.4 KB · Views: 4
Nakuja shougaaangu tena nakuleteaaa na mayai ya kienyeji kabisaa umpelekee mama swaumu awe anakukaangia ogo yai walauuu.. Au nawewe wa !??

Napewa bureee kabisaaa hayooo hapana Chezea Nyakibimbirii Village !
Duuuuh hadi nimetamaniii, mbna ningepeleka kwa mama swaumuuu akaniwekee zegee LA kiepee mihogo,

Mbna unafaidi hivyoooo
 
Back
Top Bottom