Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muhimu nalipa PAYE
Usitake kunichanganya 🤣🤣

Cc Lenie huyu totoo kisa anasoma MU ya Mbeya anataka kujikuta Loya au hechiara
Ngoja amalize shule aje mtaani ndio atajua hajui 😂

Hapo ukute kashapanga akimaliza chuo fasta anapata kazi salary ya wan pwenti faivu, anahama home anahamia kwa apatiment zen by 25 anakua anamiliki nyumba na gari.
 
Yaan napoteza appetite kabisaa, tena selfikaaa ndo kabisaaaaa,
Now nimezamia jukwaa LA sports huko ndo nako chill sanaa.
Wee unaniachajee shougaaaaangu nisubirie twende wotree banaaa mbona kupatwa kwa selfikaaa ☺️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️!!
 
Ngoja amalize shule aje mtaani ndio atajua hajui 😂

Hapo ukute kashapanga akimaliza chuo fasta anapata kazi salary ya wan pwenti faivu, anahama home anahamia kwa apatiment zen by 25 anakua anamiliki nyumba na gari.
Mtaa unamshangaza 1st ajira anaipata akiwa na 29 🤣🤣
Ataliaaa na mengi
Aanze tu kujiandaa kisaikolojia
 
Wee unaniachajee shougaaaaangu nisubirie twende wotree banaaa mbona kupatwa kwa selfikaaa [emoji3526][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212]!!
Twendeee fanya upaki mabegii harakaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Selfika ishakuaa ushubwadaaa, na venye picha hazifungukii ndo kabisaa najionea manjegekaa tyuuh.
 
Back
Top Bottom