Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,277
- 108,284
Afya mgogoroNini mbaya mkwe?
Afya mgogoroNini mbaya mkwe?
Nakazia
Tabia hyo anayo.....
Kweli kabisa .![]()
Huu uzi unapoteza maana,kwahiyo ss tusiokuwa na bando mnatuonea si ndio hivyo au?,kila nikiingia online nakuta raia wamesifia pic kuiangalia siioni,ma moderator Invisible hebu liangalie hili suala kama vp option ya delete muiondoe

Tuwaombe tu watuonee huruma hata sisi ni binadamu tuna macho na moyo vilevile.. Kama mtu amesha hide face yake why afute si aache tu tule hata hizo shape kwa macho...
Ondoa hofu
Vipimo vipo
Huniamini?![]()





But also ulitakiwa uoneshe mfano kwa kuweka yako piaHuu uzi unapoteza maana,kwahiyo ss tusiokuwa na bando mnatuonea si ndio hivyo au?,kila nikiingia online nakuta raia wamesifia pic kuiangalia siioni,ma moderator Invisible hebu liangalie hili suala kama vp option ya delete muiondoe
Jf hatupotei tunapumzika tu
Jf hatupotei tunapumzika tu

ndiyo unatakiwa uone mara moja tu halafu upotezee
Mambo yenu ya kufuta...futa picha



hallelujah,, uchaguzi gani huo eti??
J3 njema wapendwa wang,ngoja tukapambane na maisha ,habar ya uchaguz nan kapita nlkuwa mbali kwa jana View attachment 1271883
😘 😘 😘 hahaha si Serikal za mitaa jamanhallelujah,, uchaguzi gani huo eti??
HapanaIla zinafanana na za huyo sio ?
MmmhhhNitaku upgrade uwe bi mkubwa. Wengi wote watakuwa wanapokea orders toka kwako
Miss you moreMbona mnaninyasanyasa jamani
HahahahahahaDada tukomeshe
UongoooHahahaa....watakoma..
Nimepost nikafuta picha yangu hapo juu..![]()
HandsomeKigori...