Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hatuyahitaji hayo yote halafu mwanamke akiwa amekuja msafi wa mwili hana hizo mbwembwe huwa tunainjoi ule uhalisia wake wa mwili na shoo inakuwaga nzuri sana
Watu wanahangaika na mavitu ya ajabu , kumbe nyie hamjali hata .
Mwanamke ukimwendekeza kumpa hela ndio hawa baadae wakiolewa unasikia mwanamke kamuadhibu mume wake kwa kutompa unyumba kisa hela
Humpi hela ndefu , kidogo tu yakukidhi mahitaji mafupi .unapa zawadi na sio pesa
 
Huu wimbo siku ya kwanza kuusikiliza sikumbuki niliurudia mara ngapi.Napenda sana nyimbo za style hii na ni kali sana pia.Sipendi manyimbo ya kupayuka payuka hovyooo.
Wewe umekuwa kama mimi, huyu jamaa nimekusanya zaidi ya nyimbo zake 7 nazisikiliza.

Kuna nyingine zinaitwa Teamo na still not young zipo vizuri sana

Ukiwa una stress za kazi au Mpenzi amekuudhi zinafariji pia.

Unafarijika huku una jaa upako 🤗
 
Wewe umekuwa kama mimi, huyu jamaa nimekusanya zaidi ya nyimbo zake 7 nazisikiliza.

Kuna nyingine zinaitwa Teamo na still not young zipo vizuri sana

Ukiwa una stress za kazi au Mpenzi amekuudhi zinafariji pia.

Unafarijika huku una jaa upako 🤗
Ngoja nizipakue.
 
Back
Top Bottom