Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The more you spoil her , the more you will enjoy the show -Anonymous 😂😂😂😂
hebu imagine wewe ni mwanaume uliyefulia.... afu una ugwadu😂 kila mahali mizinga utajiskiaje??
hapo unatafuta manzi simple unayejua hapo ghetto ni kwako , utamnunulia chipsi kuku na elfu kumi ya asante/usafiri.
 
The more you spoil her , the more you will enjoy the show -Anonymous 😂😂😂😂

hapo unatafuta manzi simple unayejua hapo ghetto ni kwako , utamnunulia chipsi kuku na elfu kumi ya asante/usafiri.
hivi unajua kuna watu hata hiyo elf10 hana??😂 mnaangalia sana hela skuizi, barrier to entry imekua kubwa..... ndo maana kuna ongezeko kubwa la wanaume ambao ni 30 yr old virgins😂
 
hivi unajua kuna watu hata hiyo elf10 hana??😂 mnaangalia sana hela skuizi, barrier to entry imekua kubwa..... ndo maana kuna ongezeko kubwa la wanaume ambao ni 30 yr old virgins😂
Sasa jamani hata elfu kumi duh
Mmhhh aende atafute pesa aenjoy mema .

Duh kwa mjini hapa ngumu , usimpe hata elfu tano kweli .
 
Hahahaa yaani siku ya kupewa tunda inakuwaga na gharama sana bado atataka ya usafiri au mafuta ya gari mkimaliza tena posho na msosi 😅
Hao ni expensive , atataka aende Fanya waxing na facial kidogo

Posho na msosi ni vya muhimu zote hizo zinakupa moyo na kukupooza uchungu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom