Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,902
Inatokea tu unachachuka balaaSawa na siku ile ulikuwa wild aisee
Sio mara zote wanachunaNi kweli hampiti na wote, ila lengo lenu hua ni kuchuna pesa....
🤣🤣🤣
Mie matatu ndo nywelezangu kwenda Kwa shemeji Yako na mabutu kawaida tu ,😀😀😀Acha ubishi; kasukwe matatu
Mtu ukiwa hujamuweka moyoni unamuona wa kuja , so unaamua kumsave chochote kile .Hivi yale majina mnayotupea huwa mnafikiria nini kuna mwanangu alishtuka kumbe manzi wake alikuwa amemsave jina dakika 3 😅😅😅
Cc; Tinsley
Haya basi na nyie muwe mnawatumia pesa....[emoji23]Sio mara zote wanachuna
Duniani kusaidiana [emoji23][emoji23]
Wanaume hawa 😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 ona sasa eti 'cha usumbufu'Mtu ukiwa hujamuweka moyoni unamuona wa kuja , so unaamua kumsave chochote kile .
Sio fair lakini kumsave mtu majina ya ovyo .. Kuna wengine wasumbufu na haukumbuki ulimpa namba wapi au jina hujui unamsave tu cha usumbufu .
Siku zote me ndo mwenye nguvu na Mungu hubariki kazi ya mikono yake .Haya basi na nyie muwe mnawatumia pesa....[emoji23]
Ila mnatupiga hela sana nyie wadada. Mwanamke akiamua anaweza pesa yake asiguse kabisa akaishi kwa pesa za wanaumeWanaume hawa 😂😂
Tunawapenda ila wanavyotuset
Kakubembelezea kidogo unaingia line
Duh so sad🤣🤣🤣 ona sasa eti 'cha usumbufu'
Sisi huwa tunawasave majina mazuri angalau ila nyie daaah yaani mnatafutaga sifa mbayambaya ndo mnatusave.
Kama yule mwanangu alikuja kujua sababu ya kuseviwa jina dakika 3 penzi liliisha aliona amedharauliwa sana
Upo sahihi , kuna watu wanategemea kila kitu waume zao hadi vitu vidogo kabisa .Ila mnatupiga hela sana nyie wadada. Mwanamke akiamua anaweza pesa yake asiguse kabisa akaishi kwa pesa za wanaume
Bora shida tu aiseeMwanamke ukiishi kwa shida unafeli sana.... Huku chuo naona jinsi watu wanavopangwa, Dem ana support group yake[emoji23]
Kuna kitu tunaita timing kidume akikosa hiyo lazima ajikute anapigwa hela ndefu yaani ile value for money haionekani pesa mingi shoo kidogo lazima njemba anayepitia hali hiyo imuumeMdada akikupiga hela ndefu , na haujamla huwa inawauma sana eeh ?
What if shoo hakuna kabisa 😂😂😂Kuna kitu tunaita timing kidume akikosa hiyo lazima ajikute anapigwa hela ndefu yaani ile value for money haionekani pesa mingi shoo kidogo lazima njemba anayepitia hali hiyo imuume
Wa aina hii huwa wanatumika sanaUpo sahihi , kuna watu wanategemea kila kitu waume zao hadi vitu vidogo kabisa .
Jau sana[emoji23] inaleta stress....What if shoo hakuna kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
So sadKwa nilvyo viona naogopa sana madem hasa chuo[emoji23] Kuna mtu alichomwa kisu.....