Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mie actually sio introvert , nipo between .. Ni kuamua tu niweje .ukiwa introvert raha, ukiamua kujisomea unatoboa...
Mie actually sio introvert , nipo between .. Ni kuamua tu niweje .ukiwa introvert raha, ukiamua kujisomea unatoboa...
hizi label ziko nyingi afu zinachanganya😂 mi mpaka leo sijui niko kundi gani....Mie actually sio introvert , nipo between .. Ni kuamua tu niweje .
Itakuwa una multiple personalities ndo maana ngumu kujuahizi label ziko nyingi afu zinachanganya😂 mi mpaka leo sijui niko kundi gani....
Oooza avha ni agize popcorn kabisa
Mapema sanaTunaenda kumzika mtu leo
View attachment 2625706
Lazima City afie sebuleni kwake leo.Oooza avha ni agize popcorn kabisa
Hahaa hizo ni ndoto za mchanaLazima City afie sebuleni kwake leo.
Hii saluni wanajua jamani kusuka . nilipita nje ya ofisi yao . MTU anasukwa vizuri .
Picha haionekaniUsiku mwema wapendwaaaa![]()
![]()

Ni kama upite mwenge hujasuka unakereka kila unapopita wanakuambia njoo usuke dadaWanajitahid sana
🤣🤣🤣 Tinsley una maneno kumbeeNi kama upite mwenge hujasuka unakereka kila unapopita wanakuambia njoo usuke dada












Kweli maneno nayo ni silaha tosha 🤣🤣Yes , a bit 😂😂
Usipojua kuongea unaonewa ,