Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Waii nitakiunga hata kesho 😂Kimwage 😂
Waii nitakiunga hata kesho 😂Kimwage 😂
Chemsha alafu ukiunge kesho.Kadri kinavyoendelea kuchemka na mood ya kupika inakata. Sijui itakuwaje 😂
Waii nitakiunga hata kesho![]()


mimi nikiwa na hamu ya chakula fulani sipik mwemyew namuita mtu nikipika sili nachezea mpaka nikipakua bas hamu imeishaam humbled! you knowAna kaka tu...ila ufuge rasta kwani we beach boy ??? Ongea tu vizuri na mimi nikupe huyu hapa.
View attachment 2624040
hbd to mnyama mkali wa baadae!🎶🎼Tupooo rafiki zako tunasemaaaa🎶🎼
Haaaappy birthday to youuu🎂🍸🥳
Happy birthday to you🥳🥳🥳🎉🍹 🎼🎶
Poor Brain umemuona dadake Jr ???
Hongereni happy birthday to him🎶🎼Tupooo rafiki zako tunasemaaaa🎶🎼
Haaaappy birthday to youuu🎂🍸🥳
Happy birthday to you🥳🥳🥳🎉🍹 🎼🎶
Poor Brain umemuona dadake Jr ???
Asantreeeeeeh sana mnyamaa!!hbd to mnyama mkali wa baadae!
Chino nimefika wakati muafaka mnywani.
Hongera Sana kwa kuza
Asante kipenzeee nimekuzaaa😘😘🥳!Hongereni happy birthday to him
Happy birthday to him!🥳🎶🎼Tupooo rafiki zako tunasemaaaa🎶🎼
Haaaappy birthday to youuu🎂🍸🥳
Happy birthday to you🥳🥳🥳🎉🍹 🎼🎶
Poor Brain umemuona dadake Jr ???
Always ni chit chat tu.Halafu wee dogo shangazi who?what?which?
Sasa nimeelewa lile file lako. Ni hivi ukiona nabebishana hadharani, hapo hamna kitu. Mwenye mali simuaniki hadharani. Selfika hapajui. So uliyemdhania, nimemjua relax... hamna kitu toa kwa file ye34nbe
Nimemuona mnywani!!Asantreeeeeeh sana mnyamaa!!
Dadake Jr umemuona lakini????
Like maza lime doutaa 😁!
Thank you dear!!Happy birthday to him!🥳
Za ki-mama mama!☺️☺️am humbled! you know
code dressing zako zimemkosha Sana chino "Dr"
ehh! Sasa tunafanyaje? Dr
it's all about fashionZa ki-mama mama!☺️☺️
Ndio nakusikiliza nione kama unastahili au la!😁😁
Hongera Sana mnywani kwa -kukuza!! Hio ndio hadhina yako ya baadae Mungu akijalia.Bantu Lady Lovelovie Tayukwa Kapachino njoo umwone Binti yangu mkubwaaa dadake Jr!!!!!
Hakii nimezeeka lol!!
Poor Brain dadamtu anakusamiliaa sanaa
Wow hongera kumbe una wawili safi sana. Nakwama wapi mimi na huyu mmoja, miaka yote kunidekea tu 😄😄😄😄 na hataki mdogo wake kabisa. Hongera sana kipenzi, hao ndiyo best friends zako.😘😘😘Bantu Lady Lovelovie Tayukwa Kapachino njoo umwone Binti yangu mkubwaaa dadake Jr!!!!!
Hakii nimezeeka lol!!
Poor Brain dadamtu anakusamiliaa sanaa