Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,214
Ndio totoo 😂maisha ndo haya sasa😋
Ndio totoo 😂maisha ndo haya sasa😋
Njoo na hizo nyama tule ugali! 🤤😁Kisamvuuuu 🥰
mwanachuo nikila hivo nshalipua bajeti ya siku 2 😂Ndio totoo 😂
una work from home??
Pamoja mzee..Mzee ngoja nimalize msiba ntakutafuta baba..
Kwasasa nimerudi DSM hivyo Panapo majaliwa tutachekiana....
Mkianza ujezi mtuambie sasa mapemaJana nilipata bahati ya kutembelewa na mwanajf mpaka home.....
Ulikuwa mda mzuri na tulipata time ya kushare mambo kadhaa ya namna ya kuukimbia huu umaskini angalau before 35 tuwe na ghorofa kadhaa(joking)View attachment 2622799
Yupp!!!una work from home??
🤣🤣🤣🤣🤣na hii nitapita nayo au nikuachie 😎😎
raha sana....😂Yupp!!!
Ujenzi gani Mkuu....., nilijaribu room kadhaa karibu nife na madeni na kulalia Box maana kila kitu niliuzaMkianza ujezi mtuambie sasa mapema







Sana 🤓raha sana....😂