mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
ntaingia kwenye rap game 😂Na uki fail😅
ntaingia kwenye rap game 😂Na uki fail😅
Huyu ushauri sio Kwa mshamba_hachekwi 😜 ndio Kwanza yuko 1 year anawaza ajira hata sup hajakutana nazo😂Uzuri kazi zenu nyingi zinafanyika remotely.
Ila wakati unaanza (iwe kazi kabisa au internship) jiandae kwenda ofisini maana hapa kwetu tunaamini sana katika kwenda ofisini, hata pale ambapo sio lazima. Yani boss asipokuona basi ni kama vile hufanyi kazi hata kama una-deliver. Nilishawahi kuacha kazi inipite kwa kigezo cha kutakiwa ofisini Monday - Saturday bila exception wakati kazi yenyewe ningefanya vizuri tu bila kwenda ofisini kila siku.
Anyway, baadae ukishaji-establish na kutengeneza CV ndio unaweza kutia mbwembwe kwakuwaambia waajiri kwamba one of your requirements ni kufanya kazi remotely.
Hata wewe Unatumia money manager. Hongera
Wakipita niiteKapachino Lovelovie Aaliyah fanyeni manuvaa usiku Wangu uende vizureee asee Bantu Lady nasubiria wenye nchi yetu tuchukue kombe najua utapita naked kabessaa!! cocastic ntaishije bila wewe kipenzi usinifanyie hivooo mamalaoo!!
Usijareee kabesaaa mjedaaWakipita niite
Hahahaha nami nimemmiss mnoUsijareee kabesaaa mjedaa msamilie sana Bantu redee mwambie nimemmiso hadi naumwaa
Nimekumiss pia sana mrembo. Nikubless na ya zamani nini? 😉Usijareee kabesaaa mjedaa msamilie sana Bantu redee mwambie nimemmiso hadi naumwaa
Hebu fanya hivyo mremboNimekumiss pia sana mrembo. Nikubless na ya zamani nini? 😉
Hahahaha, niko hapa ,rafikiFanya hivoo mamalaoo Walai nivomiss selfii zeinyuu sasa aririririiirih... Mtu chake usikae mbareee mkuu
Waaacha wee,hatari sana
....Naked....
Nyie Huyu ni mbongo???? 🤔🤔🤔! Ajajajajajajajajahaja😍😍😍😘😘😘!