mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,934
mbona kama unaninafkia?? 😂naenda kufanyia huko barabarani.
mbona kama unaninafkia?? 😂naenda kufanyia huko barabarani.
SafiiiiJana nilipata bahati ya kutembelewa na mwanajf mpaka home.....
Ulikuwa mda mzuri na tulipata time ya kushare mambo kadhaa ya namna ya kuukimbia huu umaskini angalau before 35 tuwe na ghorofa kadhaa(joking)View attachment 2622799
Ongera mkuuUjenzi gani Mkuu....., nilijaribu room kadhaa karibu nife na madeni na kulalia Box maana kila kitu niliuza
Sema sa hivi nashukuru Mungu napokea text ya bill mwenyewe sio kugongewa na mama mwenye nyumba kunidai bill ambayo sijui imesoma sh ngapi![]()
Aisee...wapi hiyoGood afternoon. View attachment 2622646
Why???😶🌫️mbona kama unaninafkia?? 😂
kufanya kazi barabarani??😂 hiyo sentensi ina utata....Why???😶🌫️
Nimemaanisha tu huwa nalazimika kwenda nje ya nyumba comfort ikizidi.
Bado tunapambana Mkuu........ Hatutafuti utajiri ila tunatafuta kukidhi mahitaji yetu ya msingiOngera mkuu
mshamba_hachekwi Acha kujishtukia 😅 Dr Lizzy kamanisha vingine kabisa. Kwa hiyo tusitaje Barabara kwa vile ndio ofisi yako😅🧑🦯🧑🦯🧑🦯🧑🦯Why???😶🌫️
Nimemaanisha tu huwa nalazimika kwenda nje ya nyumba comfort ikizidi.
Sasa Madam hichi chakula unashiba kweliii
au ndo kulinda afyamimi sina kazi, ni jobless boy 😂mshamba_hachekwi Acha kujishtukia 😅 Dr Lizzy kamanisha vingine kabisa. Kwa hiyo tusitaje Barabara kwa vile ndio ofisi yako😅🧑🦯🧑🦯🧑🦯🧑🦯
Kwa mguu?? Umefika wapi tuunganeKwenye safari ya Rondo.....
Mazoea tu kwa upande wangu.kufanya kazi barabarani??😂 hiyo sentensi ina utata....
Bora unisaidie 🐇 😀😀mshamba_hachekwi Acha kujishtukia 😅 Dr Lizzy kamanisha vingine kabisa. Kwa hiyo tusitaje Barabara kwa vile ndio ofisi yako😅🧑🦯🧑🦯🧑🦯🧑🦯
Yeahh. Nimeshiba mpaka usingizi unanitafuta sasa.Sasa Madam hichi chakula unashiba kweliiiau ndo kulinda afya
niko nasoma kozi ya computer science.... natamani nije nipate kazi ambayo ni remote, au hata internship..... una recommendation au ushauri wowote labda....😅Mazoea tu kwa upande wangu.
Uzuri kazi zenu nyingi zinafanyika remotely.niko nasoma kozi ya computer science.... natamani nije nipate kazi ambayo ni remote, au hata internship..... una recommendation au ushauri wowote labda....😅
Na uki fail😅niko nasoma kozi ya computer science.... natamani nije nipate kazi ambayo ni remote, au hata internship..... una recommendation au ushauri wowote labda....😅