Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wakati Kaskazini - Dar, gari ikapata pancha Bagamoyo.

Ule upepo mwanana + mchanga wake nilitamani gari isitengemae chap 😁
Haha mnegalala tu. Watu wa pwani ni wakarimu wala msingekosa huduma. Inakua kama camping. Kila kitu kinakuwa sawa mpaka the thoght ya simu kuisha charge au kutokuwa na akiba ndo kunaleta hofu. 🤣🤣🤣
 
Wapi hiyo mkuu?
Kiromo bagamoyo kaka. Karibu na kiromo zoo
IMG_1302.jpeg
 
Back
Top Bottom