Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,844
Sana hasa maeneo yaliyo tambarare na mabondeni ya kuwa nayo makiniKabisa
Hasa kwa Daslam.
Sijui ndio ukanda wa chini kumeinama
Yaani nashangaa hadi barabarani maji yanajaa
Sana hasa maeneo yaliyo tambarare na mabondeni ya kuwa nayo makiniKabisa
Hasa kwa Daslam.
Sijui ndio ukanda wa chini kumeinama
Yaani nashangaa hadi barabarani maji yanajaa
YaaniSana hasa maeneo yaliyo tambarare na mabondeni ya kuwa nayo makini
Bado inasumbua kupanda, platform inakataa , nikiweka nitaku tag sawa?
AiseeBado inasumbua kupanda, platform inakataa , nikiweka nitaku tag sawa?
Unanionea kuniweka kwenye hio nafasi ya kunyanyasa, baba mtoto je?Aisee
Manyanyaso bado yanaendelea
Kuninyanyasa tu umeweza 🙌
Si umeninyima pichaUnanionea kuniweka kwenye hio nafasi ya kunyanyasa, baba mtoto je?


Mi napoelekea no huko huko... AiseeeYaani nimecheka
Hii meme kila nikiiona nacheka
Kwani bado wapo tuuNdugu wajumbeView attachment 2622201
Hio ya kukupa mtoto hata mie naiweza, umesema yupo humu muite hapa akupe picha.Si umeninyima picha
Yeye sio mnyanyasaji,amenipa moto naitwa mama.
DahHio ya kukupa mtoto hata mie naiweza, umesema yupo humu muite hapa akupe picha.

Wapo wengiKwani bado wapo tuu

Kesho shule ujue.Dah
Unataka nilie kilio gani ili unielewe kama nakuomba picha?
Nani anaenda shule?Kesho shule ujue.



Inakataa kupanda niki edit. Naandaa chakula.Nani anaenda shule?
Wewe?
Naomba basi hiyo picha ili nilale.
Naiomba hivyohivyo OGInakataa kupanda niki edit. Naandaa chakula.

Saa unazani tunafanyaje kama njia za kawaida zimeshindikana...