YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Sawa kipenzi ☺️💖💖Ndio ni ndugu Yangu 😂😂
Sawa kipenzi ☺️💖💖Ndio ni ndugu Yangu 😂😂
Hakika , sisi wote watoto wa Mungu , haijalishi unaposali .Kabisa.
Hongera bado ulijitahidi kwenda kuabudu
Yeah angalau kama hapa napata muda wa kulitafakari neno la leo
Naomba niulizeSawa kipenzi ☺️💖💖
Cause nipo very weird in deedNaomba niulize
Why una weird ID
Maana yake pia ??
Sawa kabisaHakika , sisi wote watoto wa Mungu , haijalishi unaposali .
Yeah family time pia unapata .
Kwangu family is everything
Duh aiseeee 😂😂Cause nipo very weird in deed
Siku naifungua nili type letters randomly tu nika omba kujoin sikuplan kuwa na jina hilo 😅😅😅🤣🤣🤣🤣😀💖
Siwezi kuibadilisha asee, hata iwejeDuh aiseeee 😂😂
I see ,
Will you stick with it au utabadilisha ?
Pole sana dear. Naimani utakuwa sawa soon 🥹Nilianguka jirani
Usiku huo nilitamani kulia kilio cha mtoto yani, kidogo bora saivi
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Sure kwenye dunia ya changamoto , kila Siku ni stress , ukijumuika na watu unawaopenda kwa muda mchache inasaidia sanaSawa kabisa
Napenda wenye msimamo wa family comes first
Its okay , just keep itSiwezi kuibadilisha asee, hata iweje
Kwani huipendi jamani 🙄🙄🙄
Sawa kipenzi 😊😊😍😍🤗Its okay , just keep it
Finding a new name I'd sio rahisi ,kaa nalo tu.
📌📌📌📌📌Nakupenda jamani Tinsley my sweetheart 😍💕💖💖💖
ww ndo barafu ya moyo wangu,
una lips tamu kama asali ya tabora,
Rangi nzuri kama chocolate za ivory 💋🍫🍫🍫🍫🍫🍫👄,
Nifungulie mlango hakika hutojutia,
Vingine siwezi kusema hapa kuna kuku wengi, nifanyie wepesi jamani 😘😘😘😘
😉😉😉❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥💗💖💖💝.
🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍆🍑🍑🍑🍑🍑🍑🍑
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Hutojutia my love Tinsley, maisha ni mafupi kwann tusiishi to the fullest,
😊😊😊😊😊😊
Ewaaa shem umewasili, naomba unipigie tafu kwa kipenzi wangu huyo, ndege wangu asijekunipotea 😊😊😊📌📌📌📌📌
Ibada imeisha au ume toroka??za asubuhi nyie watu....
ibada iliisha saa tatu 😂Ibada imeisha au ume toroka??
Umetoroka church leo, nimekuona unatoka kabla ya misa kuisha😅Anha okay
Umemuona mdogo wangu
We jichanganye, gongewa visa kwanza😆Oooh alisema mna undugu,,
Hivyo hapo mbeleni natumai ntaanza kumuita shem, 😉😀
Hujambo chiefibada iliisha saa tatu 😂