Ulijua maneno yanatosha😂 kuna mwanasheria wa familia kabisa na utahojiwa na ukoo mzimaDocument zipi tena jamani,, 🙄🙄🙄🙄
Ulijua maneno yanatosha😂 kuna mwanasheria wa familia kabisa na utahojiwa na ukoo mzimaDocument zipi tena jamani,, 🙄🙄🙄🙄
🙄🙄🙄🙄🙄, aseeee mbona tunatishana sasa mkuuu, mwanasheria wa nn imekuwa kesi hii jamani,Ulijua maneno yanatosha😂 kuna mwanasheria wa familia kabisa na utahojiwa na ukoo mzima
Sisita Tinsley pokea documents kwanza ili tuzipitie😂Shida amefunga pm mkuu ingekuwa wazi ningeshamtumia chap tu
Daaah sawa bwana usiniangushe lkn,Nahitaji nifanye uchunguzi kwanza halafu niongee na mwana sheria wangu aniridhishe ndo nifanye maamuzi
Mwambie afungue pm basi nizame ndani huko mkuu, ili nitume hizo document
Order unsiwekaje tena mbona hukusema, 😒Je ameweka order , tusije fanya kazi bure 😂😂
Kila kitu kilo Poa, kwako tuJe ameweka order , tusije fanya kazi bure 😂😂
Like are you serious jamaniDaaah sawa bwana usiniangushe lkn,
Please, 😁😁😁😁😁😁😁
Mbona unababaika na hii interview ndogo, utaweza ya ukoo kweli😂😂Order unsiwekaje tena mbona hukusema, 😒
Nishawahi kukutania mkuu,Like are you serious jamani
Chitchat hii
Mbona hata hajui 😂😂Order unsiwekaje tena mbona hukusema, 😒
Ya ukoo inabidi niwe nimeji koki mwezi 1 kabla 😁😁😁😁Mbona unababaika na hii interview ndogo, utaweza ya ukoo kweli😂😂
Kapata tu hofu baada ya kusikia kuna interview ya ukoo😂😂Mbona hata hajui 😂😂
@peterrabit
Jamani ungeweka wazi basi,Mbona hata hajui 😂😂
@peterrabit
Ndio last weekNishawahi kukutania mkuu,
Chitchat = _chat. Hiyo _ malizia mwenyewe 😜😜
UnamteteaKapata tu hofu baada ya kusikia kuna interview ya ukoo😂😂