Kama mtu yuko moyoni, utaongozwa na hisiaVery true.
Na kama ananusa hivi,
Anajua tu kuwa huyu mtoto atakuwa ameishiwa..
Na kweli unakuta uliishiwa..
Unawaza na kuwazua itakuwaje, ghafla muama huooo unasoma 😋
Mungu awabariki sana wanaume kama hawa.