Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Weuweeh , upo vizuriSasa kama nimeupenda utelezi wako why nisikuhudumie? Eti mpaka uombe hela ya salon?
Mfano wa kuigwa .
Weuweeh , upo vizuriSasa kama nimeupenda utelezi wako why nisikuhudumie? Eti mpaka uombe hela ya salon?
Ndo maana nahesabu kabisa bia za kunywaAngalia tu usalama kwanza, usije uka trend kesho![]()








Tatizo linalokatisha tamaa ni kutaka shida zote tuzimalize sisi, tukiwa tumeoana sawa Ila wapenzi kuwe na mipaka.Weuweeh , upo vizuri
Mfano wa kuigwa .
Wanaume wa hivi mmebaki wachache sana.Mimi siombwi hela na bby, Najua majukumu yangu kwake. Maana sio dada yangu, akiwa na mimi lazima nimtunze.
Wapo wengi tu dada, shida ni wadada wengi wa sasa wanataka akiwa na mpenzi, shida zake zote ziishe hapo. Ila hakuna wanaume wenye ajili timamu asiependa kumhudumia mpenzi wake. Labda asiwe na pesa au shida binafsi.Wanaume wa hivi mmebaki wachache sana.
Okay , kuna mipaka kwa dating ila muhimu sana ke asiwe anamtegemea sana me .Tatizo linalokatisha tamaa ni kutaka shida zote tuzimalize sisi, tukiwa tumeoana sawa Ila wapenzi kuwe na mipaka.
Mpo wachache sana aisee.Wapo wengi tu dada, shida ni wadada wengi wa sasa wanataka akiwa na mpenzi, shida zake zote ziishe hapo. Ila hakuna wanaume wenye ajili timamu asiependa kumhudumia mpenzi wake. Labda asiwe na pesa au shida binafsi.
.Nyumbani naomba,Okay , kuna mipaka kwa dating ila muhimu sana ke asiwe anamtegemea sana me .
Mie siwezagi kuomba hela hata iwe kwa mzazi wangu au chochote .
nakuwaga mzito sana , usipotoa I'm okay with it ,silazimishi baki na pesa zako
Hehehe wanaume wengine wakati wa kutongoza wanatoa hela kweli sasa tunafanyaje na mtu kaaamua kuthibitisha kwa simu 😂😂Nyumbani naomba,
Ila kwa mwanaume siwezi aisee..
Watu sijui huwa wanaanzia wapi kuomba.
Ukiwa na self control na ukapata mtu sahihi anaejua majukumu yake una enjoy sana.Okay , kuna mipaka kwa dating ila muhimu sana ke asiwe anamtegemea sana me .
Mie siwezagi kuomba hela hata iwe kwa mzazi wangu au chochote .
nakuwaga mzito sana , usipotoa I'm okay with it ,silazimishi baki na pesa zako
Wanaume kama amekupenda na unajiheshimu, haumchukulii kama danga, lazime akutunze otherwise awe na shida ya kipatoMpo wachache sana aisee.
Na wadada tusoomba hela tupo wachache.
Binafsi hata niwe na shida vipi siwezi omba hela.
Ila wabarikiwe wanaume wanaojua kujiongeza.
KabisaUkiwa na self control na ukapata mtu sahihi anaejua majukumu yake una enjoy sana.
Kupata si mchezo na mje mpendane aisee shughuli tupu .Ukiwa na self control na ukapata mtu sahihi anaejua majukumu yake una enjoy sana.
😂😂 Kama umepewa wakati wa kutongozwa huwezi kataa, shida ni pale Unataka akutimizie kila shida uliyonayo.Hehehe wanaume wengine wakati wa kutongoza wanatoa hela kweli sasa tunafanyaje na mtu kaaamua kuthibitisha kwa simu 😂😂
Very true.Wanaume kama amekupenda na unajiheshimu, haumchukulii kama danga, lazime akutunze otherwise awe na shida ya kipato
Sema kweli😂😂Nyumbani naomba,
Ila kwa mwanaume siwezi aisee..
Watu sijui huwa wanaanzia wapi kuomba.
Kuomba kipajiSema kweli😂😂
Shkamoo
Hehhe unakataaje jamani😂😂 Kama umepewa wakati wa kutongozwa huwezi kataa, shida ni pale Unataka akutimizie kila shida uliyonayo.