Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Yeah upendo wa baba kwa mtoto ni unconditional .Yani acha tu
Watoto huwa wanawapenda sana wazazi wao so msipokuwa karibu lazima Kuna athar zitatokea tu haijalishi anatumalaki 5 za matumiz Kwa mwez Kuna ule upendo atakosa tu
Unamfanya awe na furaha muda wote , na kukua katika mstari ulinyooka .
