Ahahah iyo nimenunua pale njia panda karibia na njia ya kwenda kwenu ukodah ukaamua kula kuku🤣🤣
hapo sio kabisa wanauz vitu sivyo ndizi nyama choma elfu 8 halaf hamna kitu
Duh hebu achana na app hiyo jamaniHata sijaona mie jomoneeee,
Hii app sasa daah![]()
Ngoja nihamie kwa browser aaahDuh hebu achana na app hiyo jamani
Browser is cool , Fanya uitumieNgoja nihamie kwa browser aaah
Kweli watoto Raha sana aiseeIkitokea unajifungua na kushukuru Mungu , kuliko kufanya abortion
😂😂😂😂Khahujataka tu endelea kusibiri subiri utakuta mwan si wako. Kuna mwenzako alijaribu late akashika mimba miezi miwili kapoteza dalili akajua kaingia menopause. Later baada ya miaka 28 akazaa mtoto ana ndevu😀
Baby fever ni balaaNimechelewa wapi
Ila natamni aisee lkn inshallah kunamtu namsikilizia anipe twins😂😂😂
Nitajitahidi hivyo hivyoBrowser is cool , Fanya uitumie
Tena Sio ndogo 😀 😀Afanye hivyo jamani
Sema ila dunia hii kuwa single mama ni kazi , ngoja asubiri
I'm obsessed with kids jamaniKweli watoto Raha sana aisee
Ni noma unakesha umesimama unabembeleza mtoto babaake yupo kidimbwi 😂😂Baby fever ni balaa
Na iwe hivyo
Amen .
Raha mtoto kulelewa na baba na mama .Tena Sio ndogo 😀 😀
Alafu nimelewa kwenye familia ya baba na mama Kuna zile moment kuwa na mama na baba 🥰🥰
nilishajiwekea mipaka na huwa Niko real nasemaga wazi Nini nataka
Na nikizaa ni Kwa hiyariyangu sio kimfurahisha mtu Hapana
Miezi mitatu ya mwanzo sio poaNi noma unakesha umesimama unabembeleza mtoto babaake yupo kidimbwi 😂😂
Inatokeaje bila mwenyew kutaka, Wanaume wema sana wakitaka jambo lao wakishatimiza Huwa wanabadilika hajali umemzalia au vipi na anaweza akajali mtotowake sana tu ila kuhusu wew ndo utajua hujui 😀😀Raha mtoto kulelewa na baba na mama .
Mambo ya kusimangwa na uachwe sio poa .
Yeah au ndo itokee tu .
Yani acha tuMiezi mitatu ya mwanzo sio poa
Hapo ni kupigia tu simu aje kusaidia
Kuna zile za Bahati mbayaInatokeaje bila mwenyew kutaka, Wanaume wema sana wakitaka jambo lao wakishatimiza Huwa wanabadilika hajali umemzalia au vipi na anaweza akajali mtotowake sana tu ila kuhusu wew ndo utajua hujui 😀😀