mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
kijana analeta masihara hapa😂Hahhahaaa
Zamu yako bro , do the needful
kijana analeta masihara hapa😂Hahhahaaa
Zamu yako bro , do the needful
pole sana.... hilo tatizo si linatibika lakini??Nilikuwa naumwa nikaambiwa nisile mihogo Wala zao linalotana nayo kuanzia kisamvu ugaliwake
Kisamvu Cha Nazi kilicholala ni noma upate na wali
Maradhi tu madogomadogoPole kisa nini ??
Heee si nimetupia. Kuna bro wangu aliniambia hapa selfika wanaume wanaweka picha za kuanzia tumbo kurudi chini, wadada kuanza kifua kwenda juu😂Hahhahaaa
Zamu yako bro , do the needful
Makubwa sana aiseekijana analeta masihara hapa😂
Huyo aliekukataza alikupa sababu, hii mpya kwanguNilikuwa naumwa nikaambiwa nisile mihogo Wala zao linalotana nayo kuanzia kisamvu ugaliwake
Kisamvu Cha Nazi kilicholala ni noma upate na wali
PoleMaradhi tu madogomadogo
umeanza mambo yako 😂
Yah lakin Bado sitakiw kutumia sijui miak ijayo huko mbele had daktari aruhusupole sana.... hilo tatizo si linatibika lakini??
Huyu mzee anakoma msamehe tu😂😂
Daaaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kaa fala 😀😀😀😀😀😀😀
Hahaha hebu selfika ni uongo huo .Heee si nimetupia. Kuna bro wangu aliniambia hapa selfika wanaume wanaweka picha za kuanzia tumbo kurudi chini, wadada kuanza kifua kwenda juu😂
ukipona nitafute twende nikakununulie mihogo 😂Yah lakin Bado sitakiw kutumia sijui miak ijayo huko mbele had daktari aruhusu
😂😂😂I am gily the super villain, master of minions
View attachment 2620309
Ngoja giza liingie kwa sasa kula chuma hiyoHahaha hebu selfika ni uongo huo .
hahaha ushaanza 😀😀Huyu mzee anakoma msamehe tu😂😂