Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mdogo wangu nakuomba ufanya namna basi tumfariji ndugu yetu kwa hili kwa kadri tutakavyowezeshwa tafadhali
Mungu awafanyie wepesi.
Nadhani ingependeza kwa yeyote anayewiwa amtafute.
Jamaa ni mtu poa sana.
Nakumbuka alinifariji sana kipindi nimefiwa.
 
Mungu awafanyie wepesi.
Nadhani ingependeza kwa yeyote anayewiwa amtafute.
Jamaa ni mtu poa sana.
Nakumbuka alinifariji sana kipindi nimefiwa.
Naomba na nakupendekeza wewe uratibu hili jambo
Naona tukilifanya kwa pamoja litapendeza
 
20230511_103814.jpg
 
Back
Top Bottom