Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
I think its funNyie leo nimesikia mtu anasema eti raha ya mpira, mtu na mwenzi wake wawe wanashabikia timu tofauti ya kweli haya, wangapi humu wanashabikia timu tofauti na wenzi wao mtupe majibu![]()
Mmoja akifungwa , mwenzie anashanagilia na kumtania .
Mnaspice mambo hapa na pale
cocastic njoo uongezee maneno .





,,, it was going to be soon tho
