cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Punguza heka heka basi ,
Punguza heka heka ahaha





heka heka siwezi kuachaa jamanii.Punguza heka heka basi ,
Punguza heka heka ahaha





heka heka siwezi kuachaa jamanii.Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Liverpool
Mwenza wangu cocastic shabiki gwiji wa Manchester City tunacharuana kweli ikicheza Man City na Liver ila akifungwa ananunaaaa hata salamu hatoi![]()





hebu sema kwelii mwenzaaa, wee ndo liver yako ikifungwa hunipi huduma na stahiki zangu.Wee ankoli twins wameondokaa??Bila samahani mkuu, tumeanza maisha mapyaaa mkuu.. wanasema bwana alitoa na bwana alitwaa. Kwema lakini









huzunii jaman.Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi




Hukujibu mapema nikapotezea 😏Mwenyejiii hebu mpost jomoneee nimuonee.
![]()
Pole sana National Anthem 😔😔Mambo mengine unayakubali ili upone, ila kama unawaza sana inauma sana. Mie jumapili nimepoteza wangu wawili, jumatatu nikapoteza mmoja wa kaka yangu ambae wife wake alikuwa kwangu.. ila yote yamepita.. tumeaanza maisha mapyaaa naumia Kwa huruma Kwa mke wangu ndio Ina mtesa zaidi
Eh pole , ndo ushapenda hapomwenzenu sijui nna nn yaan, kila napoangukia naangukia kwa shabiki wa Yanga.
Sipendii ila bas tyuuh
Safi sana
Shukran mkuuu zinaficha mengi sana aseee 😁😁😁😅Safi sana
Nimeona ndevu .
Hahaha , mashavu eeehShukran mkuuu zinaficha mengi sana aseee 😁😁😁😅
My condolences brotherBila samahani mkuu, tumeanza maisha mapyaaa mkuu.. wanasema bwana alitoa na bwana alitwaa. Kwema lakini



irreplaceable by BeyonceNYIMBO GANI NZURI YA KUSIKILIZA UKIWA UMEACHWA![]()
Tupoooo.....😁Wazee wa kuforce 😂😂
View attachment 2617421
Hehehe , baba wawili unaingiaje kwenye kundi letu hili 😂😂.Tupoooo.....😁
Baba wawili mahaba yanamtesa kama ndugu yangu Carrasco putinnHehehe , baba wawili unaingiaje kwenye kundi letu hili 😂😂.
Pole aisee Baba wawili ..Baba wawili mahaba yanamtesa kama ndugu yangu Carrasco putinn