Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Unajitahidi kutupiga chenga. Mara maombi ya ndani na nje. Mara kuhudumu. Tutakudabua tu!Hapana
This time nahudumu,so sijajua nitapangwa wapi na viongozi
Unajitahidi kutupiga chenga. Mara maombi ya ndani na nje. Mara kuhudumu. Tutakudabua tu!Hapana
This time nahudumu,so sijajua nitapangwa wapi na viongozi
Ndio ni kijana wa Miaka 19Kumbe yupo kwa mashangazi. Nilikuwa sijui 😳😳😳
Nimeona picha yake hapo juu ni kijana mdogo anda twenti faivu sasa mishangazi tena ya nini jamani?
Kwani mnataka tuonane ndugu yangu?🤣Unajitahidi kutupiga chenga. Mara maombi ya ndani na nje. Mara kuhudumu. Tutakudabua tu!
kua na staha mama, sio kila kitu unaweka wazi 😂 halafu kwani kuona picha za mashangazi ni dhambi??Ndio ni kijana wa Miaka 19
Hasa anataka kuona picha za shangazi mi ,😅
Maana kule kwenye kikao chao MMU wamekubaliana kuanzia miaka 35 kwenda juu ni mashangazi 🤣🤣
Ooh okay dearHapana
This time nahudumu,so sijajua nitapangwa wapi na viongozi
Kamtafute kwenye uzi wa mpira wa Yanga leo. Sidhani kama utamkosa huko akiponda Wananchi na kutetea Makolo 😁
Haha na jinsi ambavyo sipendagi mpira wa bongo aseee 😅😅😅 noma sanaKamtafute kwenye uzi wa mpira wa Yanga leo. Sidhani kama utamkosa huko akiponda wananchi na kutetea Makolo 😁
Asante my dearOoh okay dear
Semina njema
Mkitoka hapo ni dar ???
Anha kumbeAsante my dear
Mpaka mwalimu atangaze ratiba inayofuata...
So far,ratiba inayojulikana ni ya August , kongamano la kitaifa la waombaji ,Dodoma.
Btw ,dar ilikuwa march ,hapo mpk October au Dec tena
Ile sio semina ya mana.Anha kumbe
Naonaga dar anakuja sana January si alikuwa hapa
Oh okay , kumbe huwa anaalikwa hapo .Ile sio semina ya mana.
Ile ni ya huduma ya , New life in Christ ndo Huwa wanaandaa halafu wanamualika ye aje kuwa mtoa neno, so sio ya huduma yake!
Ndo maana Huwa ni siku moja tu
Ndio upambaneAisee, kuna raia wanafaidi mema ya nchi.
Nasemajeeee nasemajeee warembo wa Yanga leo mselfike mpaka majogooWatruuuu woyooooo🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸💚💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚! Kwa sauti ya Bantu Lady 🤸🤸🤸
Wapare nao watu bhasDuuh asww kumbe humu kuna watu wazima hivi nilidhanigi ww ni under 25 kumbeeeee ni,,,,,,,




😅😅😅😅😅😅 Acha basi mkuuuWapare nao watu bhas
Vijitu flan vimekomaa
Huyo ni miaka 17 na nusu
Nasemaaaajeeeeee nasemaaaajeeeeee.. watulie dawa ieaingieeeee!Nasemajeeee nasemajeee warembo wa Yanga leo mselfike mpaka majogoo
Antonnia
Atoto
Saint Anne
Beeb
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰