mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
fanya hivyo 😂Aiseee 🤔 🤣
fanya hivyo 😂Aiseee 🤔 🤣
Kukaa mbele?Dodoma?
Nilikuwepo ila sikutaka kukaa mbele 😅
Nipoo, haya njoo kahama , anaanza kesho.
Mi mzima kabisa ndugu yangu
😅😅fanya hivyo 😂
Msukuma Kwa kusifuuZamani kidogo kuna memba alikuwa akiitwa Cute Eyes. Ni wewe mkuu ulibadili ID? Tulikuwa tunaitana mpwa halafu akapotea ghafla. Alikuwa na macho mazuri mno akikuangalia yaani ni kama vile anakukaribisha ukale chakula chenye viungo vyote vinavyojulikana hapa duniani; na kilichopikwa kwa ustadi wa kimalaika. Kama ni wewe sema!![]()
Huyu Mtumishi huwaga hana shida siyo kama akina Mama Mchungajifanya hivyo 😂
Ukae mbele nikuone dear .Dodoma?
Nilikuwepo ila sikutaka kukaa mbele 😅
Nipoo, haya njoo kahama , anaanza kesho.
Mi mzima kabisa ndugu yangu
siamini mpaka nione 😂Huyu Mtumishi huwaga hana shida siyo kama akina Mama Mchungaji
watu tumepambana siku mbili tunakesha hatujala yeye kauchuna tu. Tayana-wog ataselfika tu muda si mrefu subiri hapo hapo usiondoke 😁
Shemeji tulia basi kha! 😁😁😁
Hahaha,alooo nimechekaKukaa mbele?
Mimi nilikuwa nakomaa na wale wahudumu nikidhani kwamba nitakuona. Nilimuona mmoja mwenye umbo kali kama lako nilipomkaribia nikagundua siyo wewe...Baada ya siku mbili nikapoteza matumaini nikaona nikomae tu na Neno...😁😁🙏🏿
We Rey, halafu nimekumis ,nakusoma tu kwenye ubuyu kule....
Aah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana naeTayana-wog hebu ondoa Utomaso wa huyu kijana pulizi 🖐🙏🏿
nimeshakua mtoto tena?? hamna shida 😂Aah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana nae
Asubiri mida yetu ya usiku....🤣🤣
Oooh!Hahaha,alooo nimecheka
Na sikuhudumu ,yes km sihudumu popote Huwa mara nyingi nakaa zangu mbele km muombaji tu,nakula neno huku unaomba....maana kule Kuna vitengo vingi....
Huwa Kuna utaratibu maalumu, ili uhudumu muhimu uwahi maandalizi pia, na sikuwepo wakati wa maandalizi, kwahiyo ,nikatulia tu kama muombaji!
Na waombaji tumegawanyika ,Kuna wanaokaa ndani kule mpk mwalimu ashuke,mnashikilia ....halafu Kuna wa nje, pale mstari wa mbele,kwahiyo usingeniona!
Ila si uliona mambo ,Hali inatisha,Yesu atusaidie!
Kumbe yupo kwa mashangazi. Nilikuwa sijui 😳😳😳Aah huyu mtt msumbufu ,anataka picha za mashangazi , achana nae
Asubiri mida yetu ya usiku....🤣🤣
HapanaUkae mbele nikuone dear .
Aah basi ni dar hiyo ilikuwa!Oooh!
Safari nyingine nitakudabua huko huko kwa waombaji wa mstari wa mbele....
Lilikuwa ni lile somo lililohusu Umuhimu wa Maombi ya Kimkakati ili Kuombea Taifa. Ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikiliza mwalimu laivu. Yuko vizuri sana na kila nikisikia semina zake kama nitakuwa na uwezo wa kufhudhuria nitafanya hivyo. Analijua Neno na anajua jinsi ya kulifafanua.
Safari nyingine tuwasiliane mapema Mtumishi 🙏🏿
Ogaa!!! Weting be dis 😳😳😳🤔View attachment 2616795
cocastic Naenda kumuona yule rafiki yako alojazia jazia....Selfika baadae nitupie picha yake 😏😁