Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,232
Ya jirani hayakuhusu.Kwahiyo wewe ni Bluziii?? Aisee kumbe bado mtoto sana umeanza kushabikia Epl miaka ya 2010 ๐๐๐๐
Vipi leo ni team F au team jini?
Ya jirani hayakuhusu.Kwahiyo wewe ni Bluziii?? Aisee kumbe bado mtoto sana umeanza kushabikia Epl miaka ya 2010 ๐๐๐๐
Physical Geography uanze kusoma yale Ma Plateau, soil erosion halafu kwenye maisha ya sasa hivi hayakusaidiii lolote ๐๐๐Geography physical Geog,utachapa hadi uniue๐คฃ
Nitafutie shule nzuri nianze mdogo mdogo angalau nifike form four jamani.
We...assignment gani ya muda mfupi hivyo????๐ณ๐ณ๐ณIncluding you.
Deadline after 5 hrs.
Huu umri nilionao ni wa kutafuta mtoto wa 3 mdogo wangu.Unapata ukiwa na umri wako uho au zile mimba za kimasihara ๐๐
Epl au uefa?Ya jirani hayakuhusu.
Vipi leo ni team F au team jini?
UEFAEpl au uefa?
Umeshaanza kunipiga chenga๐, haya nambie we unataka iwe muda gani?We...assignment gani ya muda mfupi hivyo????๐ณ๐ณ๐ณ
Alafu mtafiti hajitafiti bana.
Acha hizo mwakani unaenda kwa Mwamposa kuombewa upate mwenye ubavu ambao unaukatalia sasa hivi?Huu umri nilionao ni wa kutafuta mtoto wa 3 mdogo wangu.
Halla Madrid ๐UEFA
Mbona ww ni mrefu hivyo duuh ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐๐๐Hatupoi hatuboi na ituue tu๐View attachment 2615525View attachment 2615527
๐๐๐๐Jamani haaland ni moto aisee sema ngoja nipate kwanza wa liver kuku alafu nitahamia huko mwak huu wangu ๐๐๐Umeishiwa nyuzi za kuomba? Si heri uombe wa our fellow blue.
Aaliyah Haaland
Timu imeisha hiyo Boss wenu mpya anadhani kununua wachezaji wenye majina ndio kupata mafanikio ๐๐๐๐Hatupoi hatuboi na ituue tu๐View attachment 2615525View attachment 2615527
Hii sio timu Wewe toka ameondoka yule Muisrael fake sasa imekuwa inagawa point tu nashangaa juzi Bournemouth naye kalegeaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐Hatupoi hatuboi na ituue tu๐View attachment 2615525View attachment 2615527
Niwe mfupi nigundue nn sio mrefu Wala mfupi Niko katikati sijui ndo wapi ๐Mbona ww ni mrefu hivyo duuh ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ
Nilisoma Yale matokeo mara mbili ni sie au๐๐๐Timu
Hii sio timu Wewe toka ameondoka yule Muisrael fake sasa imekuwa inagawa point tu nashangaa juzi Bournemouth naye kalegeaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Duuh noma sana,, hongera mkuuu ๐Niwe mfupi nigundue nn sio mrefu Wala mfupi Niko katikati sijui ndo wapi ๐
Mbona umechelewa sana Mjep unamsikia huyuHuu umri nilionao ni wa kutafuta mtoto wa 3 mdogo wangu.
Asante nashukuru sijawa mfupi maana nilivo na matatizo ningekuwa mfupi sijui ningekuwaje๐๐๐Duuh noma sana,, hongera mkuuu ๐
Njoo Liverpool Wewe ๐๐๐๐๐๐๐Jamani haaland ni moto aisee sema ngoja nipate kwanza wa liver kuku alafu nitahamia huko mwak huu wangu ๐๐๐
Alitakiwa awe na wajukuu wawiliMbona umechelewa sana Mjep unamsikia huyu