Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ni bad boy nini ? Mie nina tabia ya upole lazima niwatete nice guys kwa kweli . Wanatufariji imagine breakup inavyouma mtu anakujali na kukupa maneno ya faraja
Usipokuwa bad boy utaishia kuliwa tu hela zako. Uzuri wa sisi mkienda mkifarijiwa huko na nice guys badae mnatukumbuka shoo zinaendelea
 
On air TBC
IMG_3228.jpg
 
Kuhonga ili kumkula ni kawaida siku hizi. Labda ampate mwenye mahela na asiwe mbahiri. Wanaume siku hizi wabahiri sana unaweza ukashangaa mpaka mmeachana usione chochote ulichofanya kwa hela ambazo umehongwa
Mara nyingi lengo huwa siyo mwanamke kufanyia cha maana hela anazohongwa, suala ni mwanaume naye atoe ili aumie kusudi hata akianza kumtukana huyo mwanamke, kwamba oo sijui malaya tu hana jipya basi moyoni lazima aumie, kwamba hakula burebure bali kuna kitu alitoa, na ofcourse wengi mnaumia ndio maana mnalalamika kila siku
 
Mara nyingi lengo huwa siyo mwanamke kufanyia cha maana hela anazohongwa, suala ni mwanaume naye atoe ili aumie kusudi hata akianza kumtukana huyo mwanamke, kwamba oo sijui malaya tu hana jipya basi moyoni lazima aumie, kwamba hakula burebure bali kuna kitu alitoa, na ofcourse wengi mnaumia ndio maana mnalalamika kila siku
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom