Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ona anacheka kama mazuri
Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje asa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufulii
C47FA0F5-8F2B-4C69-B3C7-9070CD07D3AB.jpeg




Weekend mood 😊😊
Shangazi zangu vipenzi niwapendao
Antonnia
Bantu Lady
 
Ona anacheka kama mazuri
Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje asa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufulii
View attachment 2610981



Weekend mood 😊😊
Shangazi zangu vipenzi niwapendao
Antonnia
Bantu Lady
Ngoja badae nitausikiliza mjomba asante sana Naona mambo ya weekend wimbo utakua mtramu sana!!
Tunakukubali pia mjombaa!
 
Mara nyingi lengo huwa siyo mwanamke kufanyia cha maana hela anazohongwa, suala ni mwanaume naye atoe ili aumie kusudi hata akianza kumtukana huyo mwanamke, kwamba oo sijui malaya tu hana jipya basi moyoni lazima aumie, kwamba hakula burebure bali kuna kitu alitoa, na ofcourse wengi mnaumia ndio maana mnalalamika kila siku
Ila wengi wetu huwa tayari tumeweka bajeti kwa hiyo tunachoonga kiko ndani ya bajeti hivyo akina siye haituumizi lengo likiwa limetimia
 
Back
Top Bottom