Selfika na JF: Snap it. Show it

Bantu Lady Aaliyyah cocastic Nuzulati Naombeni tips za kupunguza kitrambiii!☺️

Nina kitambi msambao kimesambaa hapa chini ya kitovu πŸ˜‚πŸ˜!!
Kwani hiko kitambi Mkwe wangu Mjeshi kasema hakitaki?

Kwamba kinafunika mchi wakati wa kutwanga karangaπŸ™ˆπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ

Mwambie hiyo ni ishara kuwa anakuhudumia vizuri πŸ€ͺ
 
Karibu San zipo za kutosha sema shida baridi Kali sitaki kula nyingi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚nitakutumia zingine
Na baridi la huko Mjukuu ni kali sana, Hivi Mkwe wangu bado hajarudi tangu aende kuwapatisha Urusi na Ukraine kwenye ile vita yao?

Fanya Unitumie Mjukuu, Daktari alinishauri kutokana na Umri wangu niwe nakula kila siku kuondoa baridi 😜
 
Na baridi la huko Mjukuu ni kali sana, Hivi Mkwe wangu bado hajarudi tangu aende kuwapatisha Urusi na Ukraine kwenye ile vita yao?

Fanya Unitumie Mjukuu, Daktari alinishauri kutokana na Umri wangu niwe nakula kila siku kuondoa baridi 😜
Hajarudi Babu nafanya mawasiliano nijue Bado yupo au nishaachwa ukute vita iliisha akapata mrusi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nitakutumia Babu usijali ila kuwa makini na afya ya bibiyetu hatakiw kufanya kazi ngumuπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tena kikijua nakipunja chakula sipati usingizi usiku 😁😁
🀣🀣🀣 Mm nimebadili ratiba ya kula nakunywa sana juis fresh usiku hivo nakuwa nakula chakula kidogo sana napiga juis glass 2πŸ˜€SAS sijui napunguza au naongeza nyie🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…