Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku moja moja muwe mnaangalia kimvuli kama hivi... weekend njema nitarudi Yanga ikishinda 🤗View attachment 2604804
Auwiiiiiiiiiiio😍😍😍😍😍Weee mwanamke uliumbwa siku gani kwaniii??? Sio kwa uzuriii huooo shepuuu shepuuu rangi rangiii mtrotro mashallah auweeee😍😍 Kapachino unapitwaaaa
 
Ndiyo uanze kujifunza kuzurura weekend moja moja, siku ukiambiwa upeleke CV hapo Mikocheni itakulazimu uombe msaada wa Boda boda kuulizia
kwa nyota ipi ya kuambiwa nipeleke CV??

Afu sijui nikoje, sijawahi waza sana kuhusu Ajira, yaan hata nisipoajiriwa milele, nikitazama vyeti vyangu tyuuh kuna namna moyo wangu unasuuzika.

Nawaonaga wengine wanavosemezana kuhusu ajira, mie ndo nipo baridiii hata siwazagi. Kuwa na Elimu hii kwangu toshaa sanaaa.
 
Screenshot_20230430-134602_WhatsApp.jpg
 
Kuna waoajii?? Wotee ni kataa ndoa
Nyamaa yoyote ikinipenda na mie nikiipenda naikubalii naenjoy nayooo.

Mara ya mwisho nilipeleka mapendekezo ya Katiba Mpya kwa Madam President, tuliweka kipengele kuwa kwenye Kila matangazo ya Ajira Mpya ni lazima muombaji akiri kuwa akipata ajira ni lazima Aoe.

Kuweni na amani mabinti, kila Mwanamke ataolewa kwa Mujibu wa Katiba Pendekezwa 🤗🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Mara ya mwisho nilipeleka mapendekezo ya Katiba Mpya kwa Madam President, tuliweka kipengele kuwa kwenye Kila matangazo ya Ajira Mpya ni lazima muombaji akiri kuwa akipata ajira ni lazima Aoe.

Kuweni na amani mabinti, kila Mwanamke ataolewa kwa Mujibu wa Katiba Pendekezwa
haina haja ya kuoa, ikiwa uzinzi unafanyaa, ndo mwanzo wa Ajari zisizo na msingi, kukimbia fumanizi.
 
Back
Top Bottom