Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani tunatamba unafikiri Yanga huku mngepaweza maana waarabu weusi tu wamewapiga nje ndani sasa ndio mngekutana na hawa waarabu wanaovuta hewa ya ulaya si mngefungwa goli kumi nyie
Ndo huyoohuyooo !!nani katenda ?waarabu au ?
Ndugu mjumbe huku ni kwa wanaume wavulana wanabaki kulee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ussshuuuunguuuuuu 😭😭🤣!Ndugu mjumbe huku ni kwa wanaume wavulana wanabaki kulee
Wale mnao cheza nao si ihefu iliyochangamkaUssshuuuunguuuuuu 😭😭🤣!
Mjipange upya mtanii!
Sasa mtuombee kesho wababee tuchukue points zeituuu 🕺✌️✌️!
Karibu tupooze machungu ya kutolewaUssshuuuunguuuuuu 😭😭🤣!
Mjipange upya mtanii!
Sasa mtuombee kesho wababee tuchukue points zeituuu 🕺✌️✌️!
😂😂😂tutakudunda😂😂😂Wana thiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaa nawasalimu in the name of Mamaa la mama Hellllooooowww ✋✋✋✋!🤭
Sijapita dearNiritingwaa kidogo ushapita naked?? Au reo hujafulahi??? ( kwa sauti ya kanda maalum!!☺️
Aya bana! ila kiume Sana
Wacha wee hongeraView attachment 2603429
Mara moja kufanya hivi sio mbaya
Wacha wee hongera


asante mtoto wakishua kaniambia uso unamafuta fanya ukarabatiMwambie asikupelekeshe 😂😂😂asante mtoto wakishua kaniambia uso unamafuta fanya ukarabati
Mwambie asikupelekeshe![]()


kanileta yeye huku mikocheni ase nilikuwa sijui wapi tunaenda 

ila bahat mzuri hela katoa yeye mimi siwez ivi vitu 


Nakuja mie na makengeza yanguu,Wagonjwa wa macho juis yenu hii
Carrot +passion +tangawizView attachment 2603431
Ila kwakuwa hampo acheni ninywe mwenyew tu![]()





Picha haifungukiiii uwiiiih lol
Pole auntPicha haifungukiiii uwiiiih lol