Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimecheka sanaa, kuna shost alikua ana sponsor wake ana kitambii aseeh, nilikua namuuliza sasa mnawekana style gan? Eti anasema mzee analala afu yeye shost anajipimia,

Nikasema dadekii sasa hii nn si uchuro huu, anasema akilala anakoroma balaa km simba wa Yuda, nkamuambia na wee delila kazi unayoo.


Mwenye kitambi mie asinisogolee kabisaa ntamtufua ngumi ya tumbo buree.
😂😂😂Hivo ndo vitu vyangu sio Hawa vijana kuchoshana tu ukitoka hapo unaenda kulala kwenye feni na UTI juu vitambi ndo habar ya mjini

Najipumzikia tu kimoja km Cha casablanca 😂😂😂
 
Happy weekend to y'all😍
 

Attachments

  • IMG_20230429_130121.jpg
    IMG_20230429_130121.jpg
    95.8 KB · Views: 7
nimecheka sanaa, kuna shost alikua ana sponsor wake ana kitambii aseeh, nilikua namuuliza sasa mnawekana style gan? Eti anasema mzee analala afu yeye shost anajipimia,

Nikasema dadekii sasa hii nn si uchuro huu, anasema akilala anakoroma balaa km simba wa Yuda, nkamuambia na wee delila kazi unayoo.


Mwenye kitambi mie asinisogolee kabisaa ntamtufua ngumi ya tumbo buree.
 
Hivo ndo vitu vyangu sio Hawa vijana kuchoshana tu ukitoka hapo unaenda kulala kwenye feni na UTI juu vitambi ndo habar ya mjini

Najipumzikia tu kimoja km Cha casablanca
shangazi umechachuks vibayaa wee siku hizi, eti km cha Casablanca lol.
 
Back
Top Bottom