robbinhood
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 538
- 1,532
Ww Kila picha haifunguki shem [mention]Ntiluseswa [/mention] njoo umnunulie iPhone huyu bebi wako wa UD![]()






leo watu mmeniamulia na hii Tecno yangu, chuoni kuna mtu kanichambaa najifaragua buree akati cm enyewe toleo LA 2016, yaan badala ya kukasirika nikacheka.Halafu walaYaan sahivi ni trauzaaa tyuuh,![]()

Ww Kila picha haifunguki shem [mention]Ntiluseswa [/mention] njoo umnunulie iPhone huyu bebi wako wa UD![]()




Halafu wala
Sema siku nilizovaa ndio nimepiga picha



nkajua ulivaa leo,Nifundishe na mimi
leo watu mmeniamulia na hii Tecno yangu, chuoni kuna mtu kanichambaa najifaragua buree akati cm enyewe toleo LA 2016, yaan badala ya kukasirika nikacheka.
Wee tena unanichambaa hapa, jaman mniachee hiyo hela ya I4n bora nifanyie kitu kinginee.
Huyo cuzooo akuje aninunulie Samsung. Mweeeeh





















NiceSIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
INSTAGRAM @dollrubii_decors
KWA MAHITAJI YA
PAZIA
MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
FURNITURE
KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE
WHTAP|0699306065
KARINUNI SANA. FREE DELIVERY DAR
View attachment 2592089

Worry not Dear sisNifundishe na mimi
Kinanda kidogo cha kuzugia
Mshenzi huyo cha umuhimu tu haukumpa mbususuMzungu unamjua au Una msikia?
Nakuambiajee kwa mbwaa yuleee, hapanaaaa.
Hizo proposals zote nilizotengeneza alitolea nje,![]()
Binti mrembo asipokuwa na akili zitakazoumia ni sehemu zake za siri nimeamini 😅Mbna kayakanyagaaa,![]()
Hiyo nilivaa jana nilipokuja hapo kwenu yudizim.nkajua ulivaa leo,
Upo mkoa gani?Worry not Dear sis
Vindege vizuriiiii!!!😍😍😍
😘😘😘😘😘😘 njoo Whatsapp luv...Miss you more sweetheart!!
Nakuja chap kwa haraka babe!!😘😘😘😘😘😘 njoo Whatsapp luv...