Selfika na JF: Snap it. Show it

a

Mkuu jiheshimu , uongo upi huo uniache kabisa ..
tuko huru kupost picha yoyote iwe filtered or not .
Ndo maana Selfika watu wanapoteaa, kuna mamlukii wamevamia hapa, yaan ile vibee imepoteaaa kabisaaa.,
 
Huweki picha kwa sababu ya mtu?
Ingekuwa tunaogopa watu basi huu Uzi usingefika hapa leo.


Humu ndani Kuna mengi,
Wengine tangu Uzi unaanza tushatukanwa hadi basi ila picha hatuachi kuweka
nachekaaa km mazuriiii.
Dada unachachuka sometimes nawee
 

Kwann sijui leo nachekaaa mnoo.
Yaan bas tyuuh
 
Kuna purukushani tu za hapa na pale

Sekeseke na mitifuano kama yote.


Unaweza post picha, mtu anakuja tu kukudis kama ulivyofanyiwa.. ili mradi tu ujisikie vibaya.

Yaani hakuna jipya chini ya selfika
 
Ankoliiii hebu toa hiyo emoji, nikuone vizuri, uko swafiiiiiii, afu hivi leo jion karibu na mti wa mdegree hukuwepo??

Mzigo umetemaa fanya kunipasiaa na mie.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nipo ziwani mie, najiandaa kuingia kambini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…