Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,984
- 177,206
😂😂🤣🤣🤣🤣! At least nanyie mmepata baada ya muda mrefu sana!!Leo tulikuwa tunaaga pale jangwani kusafirisha kwenda kwao mali Kama angedaka ule mshuti!
😂😂🤣🤣🤣🤣! At least nanyie mmepata baada ya muda mrefu sana!!Leo tulikuwa tunaaga pale jangwani kusafirisha kwenda kwao mali Kama angedaka ule mshuti!
Kuna seminar moja ya kujiandaa kustaafu nilihudhuria miaka ile .......si nikakutana na mafunzo pia ya matumizi ya Condom ya mdomo 🙈
Ukifa kwa kiu ya maji baharini utakuwa uzembe wako tu, everything is on the place.
Furahieni maisha vijana huku mkichukua tahadhari, miaka yetu mambo hayo hayakwepo 😎🏃🏃
Mie sioni hii appp jaman uwiiii,
Huyooo hapoo Carrasco mamboo yako uyapendayoooo kabesaaaa!!
![]()





Na mlikuwa mmeingia kwenye mfumo! Jana tungewakanda nyingi sana.😂😂🤣🤣🤣🤣! At least nanyie mmepata baada ya muda mrefu sana!!
Huyooo hapoo Carrasco mamboo yako uyapendayoooo kabesaaaa!!
![]()
I need a big bro jamani please . Vipi hujambo ?Nani kaka ako unataka uninyime nn
U need big tango 🙄🙄I need a big bro jamani please . Vipi hujambo ?
Aaah jamani unanikosea☹️😂Sisi wembamba tunadharaulika![]()
Enzi zetu za Ujana mambo hayo hatukuweza kufanya kuogopa maradhi, miaka yetu tuliogopa zaidi Gonorrhoea na Kaswende kwakuwa hakukuwa na matibabu ya moja kwa moja.Eendiwoooooooo ndiwooo babuuu na uzoefu wake wa kutoshaaa!! Bila shaka kuanzia ijani mpaka saii umekula sana bata granpah hongeraaa na
Santo sanaa🤭!!
Wanawake wenyewe inasemekana hawaridhiki kirahisi nowadaysWatu wanaona bora wafe au wateseke kwa kansa , ila wasikose kufurahishana kitandani.. akili siku hizi zipo vice versa sana
hahaha thank youU need big tango
Neema yakoooooFunua neema , familia yangu ikujue . Funua neema rafiki zangu wakujue .
Nyimbo nzuri kweli . Mwingine huu majina mazuri yote yako .Neema yakooooo
Eeeh Jehovah Muumbaji wanguNyimbo nzuri kweli . Mwingine huu majina mazuri yote yako .
🎶🎵Nikupee jina ganii kwanii kila lakiherii ni upekee wakooo🎶!Eeeh Jehovah Muumbaji wangu
Ila Upendo tv wana nyimbo nzuri , nilikuwa nasikiliza trace gospel , nyimbo zao za kawaida .Eeeh Jehovah Muumbaji wangu
Sura yangu nikiiweka hapa mtaota usikuHHaah weka yako mr black
