Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ZABURI 118:5-7

⁵ Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.

⁶ Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?

⁷ Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.

HILO NDILO NENO LA MUNGU
 
Chocho Kwa chocho....
IMG_20230407_151426.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom