Kuna kamvua Leo natak nilale
Kama kuna mvua mungu kawapendelea huku tulipo jua linawaka kama pasiKuna kamvua Leo natak nilale
Siku ya nne Leo kilasiku inanyeshaKama kuna mvua mungu kawapendelea huku tulipo jua linawaka kama pasi
Kuna mwinginejapo wengine wanapata wivuuu hadi naitwa mwenyekiti wa wajinga .. mmoja alishindwa kuvumilia akanichana nikajua wivuuu
nahisi alikuwa hajui kuwa sinaga akili toka zamanii za zama


Ahahaha,Mimi utakuta nimehamia jukwaa la siasa nataka kugombea ujumbei WA nyumba kumi
Kama huku Rocky city, ni mwendo wa mvua tu.Siku ya nne Leo kilasiku inanyesha
karibu ujumuike humu , ts a cool thread
Unaona sasa National Anthem huyu haaminiki huyu kashazoea kuchakata za buku jeroKKhaa ngombe zote hizo kisa mbususu😲😲😲😲
Wewe mLiverpool huniachi nipumue? 😂😂😂Aslam alyeikum View attachment 2550682
Unatumia nguvu nyingipenzi which , who , where
😅😅😅 wao wanafikiri sote tuna maisha mepesi mepesi kama wao, na wanafanya kosa kufikiri wote ni ma genious kama waoKuna mwingine
Alinitukana kihaya 'your very stupid'
Nikamshangaa
Hakujua maskini watu wa hovyo hovyo
Tulivyojaa humu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
😅😅😅 haya aunt lala bana, mie na usingizi ila nimegoma kulalaKuna kamvua Leo natak nilale
Mweh shepu wapi sis asante Kamera tu siss! Bantu Lady ni motro wa kuotea mbaliii sis ninouuuuumaaaa!!!! Ana huo mshepuu balaa nanusu!Bado ww sijakuona
Antonnia tayari mamaa na mshepu wake wa hatari..
Na Bantu Lady ndo bado na yy
Mtubless basi
Huu ukanda shy, mwanza, musoma, geita mvua zipo kahali ka hewa kazuriiKama huku Rocky city, ni mwendo wa mvua tu.
Usiku baridi nayo inakanyaga balaaHuu ukanda shy, mwanza, musoma, geita mvua zipo kahali ka hewa kazurii
Wewe unavifundo Kiba voice AntonniaMweh shepu wapi sis asante Kamera tu siss! Bantu Lady ni motro wa kuotea mbaliii sis ninouuuuumaaaa!!!! Ana huo mshepuu balaa nanusu!
Kama kale ka alfajiri baridi linagongaaa 😊😊😊ikifika alfajiri navaa suluwaleUsiku baridi nayo inakanyaga balaa
KabisaIko kichwa nakijua vema mjomba trenaa akuwachee kabesaaa!! Hahaha hajui watu wa milembe akili yao ikoje huyooo hahahaa
walai nimecheka hadi nataka kujikojolea hapa mjomba![]()