Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20230306-091009_WhatsApp.jpg

Mchana mwema wana daslamu
 
[emoji28][emoji28] japo wengine wanapata wivuuu hadi naitwa mwenyekiti wa wajinga .. mmoja alishindwa kuvumilia akanichana nikajua wivuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi alikuwa hajui kuwa sinaga akili toka zamanii za zama
Kuna mwingine

Alinitukana kihaya 'your very stupid'

Nikamshangaa[emoji1787]

Hakujua maskini watu wa hovyo hovyo

Tulivyojaa humu[emoji1732]

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Kuna mwingine

Alinitukana kihaya 'your very stupid'

Nikamshangaa[emoji1787]

Hakujua maskini watu wa hovyo hovyo

Tulivyojaa humu[emoji1732]

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
😅😅😅 wao wanafikiri sote tuna maisha mepesi mepesi kama wao, na wanafanya kosa kufikiri wote ni ma genious kama wao
 
Back
Top Bottom