Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😅😅 japo wengine wanapata wivuuu hadi naitwa mwenyekiti wa wajinga .. mmoja alishindwa kuvumilia akanichana nikajua wivuuu 🤣🤣🤣 nahisi alikuwa hajui kuwa sinaga akili toka zamanii za zama
Hahahahaaaa!! Mchawi sio lazima aroge mjomba wangu hatudaiwi na mtyuuu wala nenee💃!!
Watuwachee na ujinga wetitruu who cares kwanzaa!?😘😘😍😍!

Watrajejoooooo😏😏🚮🚮🚮🚮
 
Yaani tangi hii siku ianze nikaa hapa km nilivyozaliwa laki sioni picha za watu wengine wakipita au hata vivuli vyao.

Lakini kimya tu sijui wana blesiana wapi
 
Ndio utubles sasa mkuu do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Yaani tangi hii siku ianze nikaa hapa km nilivyozaliwa laki sioni picha za watu wengine wakipita au hata vivuli vyao.

Lakini kimya tu sijui wana blesiana wapi
Yaani tangi hii siku ianze nikaa hapa km nilivyozaliwa laki sioni picha za watu wengine wakipita au hata vivuli vyao.

Lakini kimya tu sijui wana blesiana wapi
 
Back
Top Bottom