Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
HapanaEty wewe ndiyo samia?
HapanaEty wewe ndiyo samia?
Kachumbari ya yai?View attachment 2541737
Wacha leo nimsaidie Bibi yenu kupika, naye ashinde anaangalia Tamthiliya tu
Happy Women's day to all Mamas out there, we love you![]()
Mbona wakati anaongea hukuwa online?Hapana
Teh teh teh .Kidogo niseme nenoMorning selfika!!
Hahaa...unaruhusiwa kuchitchatika mkuu sema tu😎!Teh teh teh .Kidogo niseme neno
Naweka akiba ya maneno nitasema pale tuu picha itaanzia chini ya kitovu kushuka chini☺️☺️☺️Hahaa...unaruhusiwa kuchitchatika mkuu sema tu😎!
Chini ya kitovu tena 🙌🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️😊😊Naweka akiba ya maneno nitasema pale tuu picha itaanzia chini ya kitovu kushika chini☺️☺️☺️
Yako ya kuanzia chini ya kitovu kushuka chini iko wapi mkuu Hebu nioneshe Mfano kwanza😊!Naweka akiba ya maneno nitasema pale tuu picha itaanzia chini ya kitovu kushika chini☺️☺️☺️
"Simama mashemeji zako wakuone "Na Mimi ni mmojwapo wa kutambulisha Kwa namna hiyoChini ya kitovu tena 🙌🙌🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️😊😊
Pengine umenielewa vibaya mkuu sikuwa na maana uonyeshe kitovu.La hasha nilihitaji kuona baraka za Muumba kama asemavyo sheikh kipoozeoYako ya kuanzia chini ya kitovu kushuka chini iko wapi mkuu Hebu nioneshe Mfano kwanza😊!
Ndio naomba unioneshe mfano picha yako isio ya oblique nione inavokua geography nilifeli mimi!"Simama mashemeji zako wakuone "Na Mimi ni mmojwapo wa kutambulisha Kwa namna hiyo
Ndio maana nikasisitiza picha ikiwa chini yaani isiwe oblique naweza nikatia neno
Nioneshe Mfano mkuu Mie kilaza mgumu sana kuelewa bila teaching aid!!Pengine umenielewa vibaya mkuu sikuwa na maana uonyeshe kitovu.La hasha nilihitaji kuona baraka za Muumba kama asemavyo sheikh kipoozeo
Patamu hapoo.tuivuke hii tunaweza tukaendelea na stori zingineNdio naomba unioneshe mfano picha yako isio ya oblique nione inavokua geography nilifeli mimi!
Kasimu kangu hakasapoti pichaNioneshe Mfano mkuu Mie kilaza mgumu sana kuelewa bila teaching aid!!
Mbona Ghafla sana 😊😊!!Patamu hapoo.tuivuke hii tunaweza tukaendelea na stori zingine
Imeisha hiooo👋✌️✌️✌️✌️✌️!!!Kasimu kangu hakasapoti picha
Bado nipo nipo mkuu natafuta Uzi unaotrend akili isikae kinyongeMbona Ghafla sana 😊😊!!
Haina noma mkuu uwe na wakati mwema!!👋!
Hapana Mkuu, hapo nilikuwa natengeneza mchanganyiko wa Ndizi na Utumbo wa ng'ombe 😋Kachumbari ya yai?