Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Radi na mvua zimeisha?Nipoo mkuu Vimajukumu vya hapa na pale tu samalekooo!!
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Radi na mvua zimeisha?Nipoo mkuu Vimajukumu vya hapa na pale tu samalekooo!!
Zimeisha Wigee habari za wewe!!
mambo mremboZimeisha Wigee habari za wewe!!
Kitambo sana sijakuona mkuu do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
Poa mamy upoo?? Kimya sana dear!!mambo mrembo
Nipo kibaruaniZimeisha Wigee habari za wewe!!
Kitambo sana sijakuona mkuu do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Nipo dear , za kwako .. Poleni na radi huko .Poa mamy upoo?? Kimya sana dear!!
😂😂Wamakua wengi
Mna sura za ki mexico
Wachache waliochanganya na konde
Wana sura za vita
Ngumu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kumbe Asha ngedere😂😂
Nakuangalia tuNaona Wige alifichwa, sijui na Wajukuu zangu wa Tanga au Tabora manake kote huko ni hatari kwenye mambo yenu Vijana![]()

Wigelekelo noumaa sana babuu hakutaka hata mtu apumuee ni kazi kaazi almost miezi miwili hakuna kupumzikaa lol Wige mtu mbad sana kumbe!!😊Naona Wige alifichwa, sijui na Wajukuu zangu wa Tanga au Tabora manake kote huko ni hatari kwenye mambo yenu Vijana 🤗
Taratibu sophy27Kumbe Asha ngedere![]()


Nilikuwa pori rafikiWigelekelo noumaa sana babuu hakutaka hata mtu apumuee ni kazi kaazi almost miezi miwili hakuna kupumzikaa lol Wige mtu mbad sana kumbe!!![]()

Wee babu kumbe unajua kupika hivi??🤔🤔🤔View attachment 2541737
Wacha leo nimsaidie Bibi yenu kupika, naye ashinde anaangalia Tamthiliya tu 🤗
Happy Women's day to all Mamas out there, we love you 😍
Saivi unaweza kuta kapungua kilo za kutosha, yale mambo ni kazi kama kazi nyingine tu.Wigelekelo noumaa sana babuu hakutaka hata mtu apumuee ni kazi kaazi almost miezi miwili hakuna kupumzikaa lol Wige mtu mbad sana kumbe!!😊
Hahahaha.........najaribu Mjukuu, nina miaka mingi sijapika wacha leo ni practiceWee babu kumbe unajua kupika hivi??🤔🤔🤔
Uko vizure sana babuu !
Hongera sana kwa kumsaidia bibi jikoni leo ubarikiwe sana kutambua siku yetu granpaahhh!! wabheja sana✌️✌️
😂😂😂😂KwakweliTaratibu sophy27
Mama anapitaga
Kusoma komenti humu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hongera unajua sana babu imetoka mwakeee😋😋Hahahaha.........najaribu Mjukuu, nina miaka mingi sijapika wacha leo ni practice
HahahahaaaaSaivi unaweza kuta kapungua kilo za kutosha, yale mambo ni kazi kama kazi nyingine tu.
Kwenye katiba mpya tutaweka kifungu tuwe Tunalipwa Wanaume 🙈🏃♂️🏃♂️