Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230308_132937.jpg

Wacha leo nimsaidie Bibi yenu kupika, naye ashinde anaangalia Tamthiliya tu 🤗

Happy Women's day to all Mamas out there, we love you 😍
 
Wigelekelo noumaa sana babuu hakutaka hata mtu apumuee ni kazi kaazi almost miezi miwili hakuna kupumzikaa lol Wige mtu mbad sana kumbe!!
Nilikuwa pori rafiki

Chuma iliroga mashine

Ikabidi niwe mpole

Halafu sijatenda dhambi

Kama huamini

Nakuja tuthibitishe

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2541737
Wacha leo nimsaidie Bibi yenu kupika, naye ashinde anaangalia Tamthiliya tu 🤗

Happy Women's day to all Mamas out there, we love you 😍
Wee babu kumbe unajua kupika hivi??🤔🤔🤔
Uko vizure sana babuu !
Hongera sana kwa kumsaidia bibi jikoni leo ubarikiwe sana kutambua siku yetu granpaahhh!! wabheja sana✌️✌️
 
Wigelekelo noumaa sana babuu hakutaka hata mtu apumuee ni kazi kaazi almost miezi miwili hakuna kupumzikaa lol Wige mtu mbad sana kumbe!!😊
Saivi unaweza kuta kapungua kilo za kutosha, yale mambo ni kazi kama kazi nyingine tu.

Kwenye katiba mpya tutaweka kifungu tuwe Tunalipwa Wanaume 🙈🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom